MWANA WA UFALME
JF-Expert Member
- Sep 10, 2010
- 578
- 144
utumishi bora
utumishi bora
Mfumuko wa bei ya mafuta ya petrol
Kiongozi wa watu.
Age ilikuwa imeshaenda hapo, Ungecheck picha yake wakati anachukua nchi alikuwa bado young. Hapo alikuwa tayari ni kiongozi wa nchi.hapa atakuwa alikuwa bado ni mwalimu pale Pugu!!maisha ya walimu hayo!!
Hela ya uma ilikuwepo ila ilikuwa imekwenda kuanzisha viwanda ambavyo sasa vimefilisiwaKakosa hela ya kiwese ya kuweka kwenye 109 akaamua kuchukua bike lake. Lol
View attachment 53256hapa ndio enzi za mwalimu, je kwa hali iliyopo historia kama hii yaweza kujirudia?
Hakufikiria kama ipo siku serikali itamiliki magari ya trillion tatu. Na bado wanakazana kununua mengine.
Tatizo ni hizi VX V8 hata afisa wa kawaida anataka awe nayo... mwl...kiboko... aliongoza kwa mifano anuwai...
I wish kumwona bwm jmk akiwa juuya hii kitu