Tulicho nacho tanzania ni
1. WATU -tunao wengi mno waliosoma bila kuelimika
2. ARDHI- Tunato nzuri kuliko zote duniani lakini wasioelimika wamewakabidhi mafisadi nchi pamoja na raia
3. SIASA -Hatuna, wala hatujaamka kufahamu maana ya siasa. Kinyume chake ni kuwa tumeendekeza siasa za vitisho, ubabe ulaghai, dhuluma na kuuana kimafya mafya kwa kisingizio cha utulivu na amani huku tukipuuza utaalamu, sayansi na teknologia.
4. UONGOZI BORA - Hapa ndiyo patupu kabisaaaaa! maana ungekuwepo yasingetokea yaliyoinishwa hapo juu.
Balaa gani hii!
Mungu inusuru Tanzania, tunaiweka mikononi mwako ili wote watendao maovu uwamulike, wananchi wafahamu wayatendayo kwa siri kuhujumu watu milioni 45. Umulike pamoja na famnilia zao na laana ziwe juu yao pamoja na familia zao. Usiwape hata nafasi ya kukiri maana waliyoyatenda wameyatenda kwa makusudi huku wakiona jinsi wananchi wanavyotaabika huku wao wakijineemesha bila kipimo wala aibu. Watu wakiwalalamikia wanaswekwa rumande, wengine wanapigwa risasi wafe. Wengine wanalishwa sumu wafe, wengine wanagongwa wafe! Mungu usiwaache wawepo hadi 2015. Wahukumu ili na wengine wajifunze wafahamu kuwa maana ya uongozi ni kutenda haki.
Dogo kama skosei kwao anaishi na bibi ake pale msoga, zile nyumba zipo barabarani,, analala chin na mkek ulochoka, kamka kenda vua samaki amepata dagaa3, anawaza atakula nini leo, da hata nikioga sina nguo wacha nipoumzike kwanza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.