Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Hussein Mwinyi mmemuona utafikiri anaenda disco, aibu tupu
Ukitizama macho ya Mkuchika & Nchimbi & Hussein inakuonyesha dhairi kuna element kubwa sana ya "UNAFIKI"!
Hussein Mwinyi mmemuona utafikiri anaenda disco, aibu tupu
mbona kama ni mbatia!kwanini maafisa usalama wote mguu wao kiatu cha kulia kimenyanyuka juu kidogo? we angalia nyuma ya Mh Raisi huyu jamaa nyuma ya Wasirra
Unatisha. Hata presidaakwanini maafisa usalama wote mguu wao kiatu cha kulia kimenyanyuka juu kidogo? we angalia nyuma ya Mh Raisi huyu jamaa nyuma ya Wasirra