Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Zitto hana hamu, afanye nini? "maji ukisha yavulia nguo, inabidi..."
Kivipi mkuu FF?
Huyo Mzee wa kanuni anaongea vitu tofauti na walivyokubaliana. Halafu anamshangaa kwani huyo Mzee juzi katoka kuzuwa Malaria, sasa Zitto anajiuliza "huyu Mzee kishapona kweli?"
Hana hamu na nini wakati CDM imemukuza wewe nafikiri humjuwi zitto,ni kijana anatumia akiri sana ,hapa anajua kinachosema ni kweli na hakika kuwa watanzania tunaonewa na tutakisha kwa ufisadi huu.Zitto hana hamu, afanye nini? "maji ukisha yavulia nguo, inabidi..."
Zitto atakuwa anasema 'dah maliza kubwabwaja basi tuondoke' lol