RayB
JF-Expert Member
- Nov 27, 2009
- 2,751
- 196
hahahaha wanajinyanyasa wenyewe,mpaka viatu unasubiri ununuliwe!
Taratibu aisee ni mchelle obama huyo ohoo
hahahaha wanajinyanyasa wenyewe,mpaka viatu unasubiri ununuliwe!
jamani kavua mchuchumio ili aselebuke vizuriWanawake wamekuwa watu wa kunyanyaswa tangu enzi za kale, hii sijui ndio harusi, bwana kavaa viatu bibie anatwanga na kupepeta pekupeku!
usifanye utani huyo ticha toka siku hiyo kawa mshkaji kinoma,siku hizi tunaonana sana kwenye masanga nikimkumbusha huwa anaishia kuona noma tu.hahahahahahah babu k umeua:wink2:
fimbo zote za miaka saba alizilipia siku hiyo,hahahahahahaah.usifanye utani huyo ticha toka siku hiyo kawa mshkaji kinoma,siku hizi tunaonana sana kwenye masanga nikimkumbusha huwa anaishia kuona noma tu.
fimbo zote za miaka saba alizilipia siku hiyo,hahahahahahaah.