wakuu habari
mimi sio mtaalamu sana wa mambo ya tekinologia hizi mpya,naombeni mwenye ujuzi anijuze, hivi ni kipi bora kati ya amazon kindle na ipad
--je nikiwa na kindle ni kitu gani ntakosa?
--internet vipi ktk kindle ipo?
--pdf na word,zipo kindle?
na lolote la maana wakuu mtalo ona linafaa kujuzwa hasa juu ya kindle vs ipad
Nawasilisha
mimi sio mtaalamu sana wa mambo ya tekinologia hizi mpya,naombeni mwenye ujuzi anijuze, hivi ni kipi bora kati ya amazon kindle na ipad
--je nikiwa na kindle ni kitu gani ntakosa?
--internet vipi ktk kindle ipo?
--pdf na word,zipo kindle?
na lolote la maana wakuu mtalo ona linafaa kujuzwa hasa juu ya kindle vs ipad
Nawasilisha