Tumsifu Samwel
JF-Expert Member
- Jul 30, 2007
- 1,407
- 159
Leo nimeingia kwenye website ya Big Brother Africa ili niweze kumpigia Dada yetu Elizabeth kura,cha kushangaza sikuweza kufanikiwa kupiga kura kwani nimeambiwa kuwa tayari ni meshapiga kura wakati sijapiga kura.natumia modem ya Zantel ya CDMA, ikanibidi niunganishe computer yangu na simu yangu ya mkononi ambayo natumia line ya zantel ya GSM nako nikaambiwa kuwa tayari nimesha piga kura.
Nilipo angalia IP Adress yangu ya kwenye line ya GSM ilifanana na ile nayo tumia kwenye modem yangu ya CDMA,nika gundua kuwa karibu wateja wote wa zantel wa GSM na CDMA wanatumia IP Adress moja,hivyo mwenzako akikuwahi kufanya kitu ambacho una ruhusiwa kufanya mara moja wewe hutoweza kufanya hivyo.
Kwa mfano unataka kudownload file kwenye rapidshare hutoweza kufanya hivyo kama kuna mteja wa zantel amekuwahi kwa kudownload,au kama ukifanikiwa mtu wingine akiitaji kudownload hatoweza ampaka asubirie kwa mda sana.
Wadau hivi hii ni sawa kweli kwa wateja karibu wote kutumia IP Adress moja ? je na Kiusalama inakuwaje endapo mtu akifanya uhalifu kwenye mtandao upatikanaji wake utakuwa je?
Nilipo angalia IP Adress yangu ya kwenye line ya GSM ilifanana na ile nayo tumia kwenye modem yangu ya CDMA,nika gundua kuwa karibu wateja wote wa zantel wa GSM na CDMA wanatumia IP Adress moja,hivyo mwenzako akikuwahi kufanya kitu ambacho una ruhusiwa kufanya mara moja wewe hutoweza kufanya hivyo.
Kwa mfano unataka kudownload file kwenye rapidshare hutoweza kufanya hivyo kama kuna mteja wa zantel amekuwahi kwa kudownload,au kama ukifanikiwa mtu wingine akiitaji kudownload hatoweza ampaka asubirie kwa mda sana.
Wadau hivi hii ni sawa kweli kwa wateja karibu wote kutumia IP Adress moja ? je na Kiusalama inakuwaje endapo mtu akifanya uhalifu kwenye mtandao upatikanaji wake utakuwa je?
My IP address: 41.204.128.101
My IP Address Location: Zanzibar inTanzania, United Republic of
ISP of my IP: ISP - Local Registry
Last edited by a moderator: