Inzi kwenye Bia

Wewe nae ni mshamba kweli kweli, hiyo utayomwaga beer yako ni bar? au ka "store" (grocery) kakuuza "beer"? hivi bar unaweza kumwaga "beer"?

Ingawa nimeachana na hayo mambo lakini "ujuzi hauzeeki".

ama kweli ujuzi hauzeeki!
Nimejifunza kwenu, sasa nakaa na kisoda tayari.
Nilikojifunzia kunywa unapewa bia ya bure, samahani nyingi na free snack
 
Nauliza, kiustaarabu inzi akiingia kwenye glass ya bia (au whisky) yako ukiwa bar, je ukiimwaga unatakiwa uilipe, au ni bar italipa kwa kutoweka maeneo yao safi mpaka kukawa na mainzi?

sasa wewe utaingiaje hiyo baa yenye mainzi si ni chafu hiyo? ulitakiwa uulize kuwa ukiingia baa ukakuta mainzi mezani je unatakiwa ufanyeje? upige simu kwenye taasisi inayo shughulikia afya za jamii? au umfungulie mashtaka mmilki kwa kuhatarisha afya na maisha ya watu? nk. Unajua mtu ukipitia pitia kwenye blog ya jamii za kitanzania kama hapa JF hakika unapata picha halisi ya ujinga na uozo wa wabongo aiiiiiiiiiiiiiiiibuuuuuuuuuuu!
 
ni marufuku kumwaga pombe,i repeat pombe kwa sababu ya inzi,unamtoa na kisoda unamwacha aendelee kufurahia maisha,hamna madhara yoyote ya kiafya utakayopata, ukiona wanasumbua hama eneo au ongea na wahusika wasafishe
 
Back
Top Bottom