wale wa kijani kama rangi ya "wenzetu"!
Nauliza, kiustaarabu inzi akiingia kwenye glass ya bia (au whisky) yako ukiwa bar, je ukiimwaga unatakiwa uilipe, au ni bar italipa kwa kutoweka maeneo yao safi mpaka kukawa na mainzi?
Waulize walevi wenzio.
Nauliza, kiustaarabu inzi akiingia kwenye glass ya bia (au whisky) yako ukiwa bar, je ukiimwaga unatakiwa uilipe, au ni bar italipa kwa kutoweka maeneo yao safi mpaka kukawa na mainzi?
Wewe nae ni mshamba kweli kweli, hiyo utayomwaga beer yako ni bar? au ka "store" (grocery) kakuuza "beer"? hivi bar unaweza kumwaga "beer"?
Ingawa nimeachana na hayo mambo lakini "ujuzi hauzeeki".
Kama unaona nzi ni kero, usitumie glasi.
Nimecheka kweli, hili "nzi wa CCM", neno kali mno duh!
nimeuliza tu ili nijue kama nina rights kama mteja. Hata mimi kwenye vikali simwagi, ni mapokeo tu, sina sababu.
Ushrubaro siujui im old skool!
asante usiye mlevi. Akiingia kwenye juisi au soda inakuaje?, sio lazima iwe bia
Alafu ugongwa ukija wanaanza kuupata wale kwanza
Drink at u own risk
Ilikuwa kila alipokatiza nzi mezani kwetu, mashavu yanajaa mate! Mwishowe ilibidi tuondoke kabisa maeneo. Mshikaji alionesha ujasiri wa aina yake, kumbuka nzi mwenyewe ni yule "bwana afya" a.k.a "nzi wa kizungu"
jamaa kiboko!
Mi kwenye bia namwaga lakini kama nakamata whisky au brandy naomba kisoda namtoa kisha naendelea nayo.
Lakini ilibidi watulipe. Imagine unapewa glass kubwa inayoingia bia nzima halafu umepiga funda moja tu nzi wa ccm huyo!
asante usiye mlevi. Akiingia kwenye juisi au soda inakuaje?, sio lazima iwe bia