kibali
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 504
- 421
Mi nadhani kama kungekua na uwezo wa kuzuia watu kuchangia kwanza mpaka hapo wahusika watakapo maliza ingekua vizuri, maana kama nnavyoijua hii JF yaani Mods mtakua na kazi ya kudelete post zisizofaa na itaharibu mtiririko. Kama hili litawezekana nadhani itakua njema sanaNdio. So long as hamtoi majibu, na kama post zinahusu mada inayo jadiliwa, hakuna ubaya. wakati debate inaendelea tutapokea masuali mbali mbali toka kwa members, na mwisho kabisa suali tatu zitachaguliwa kua suali 13, 14 na 15.