AshaDii ni wapili kutoka kulia
AshaDii ndivyo ulivyokuwa daaah bado unanyonya kidole
Cookie ni huyo aliyesimama hapo, umeshanitambua? lol BADILI TABIA
Mimi kunitambua ni rahisi.... Nimevaa gauni la blue, ndie nilikua baby sitter wa kina Invisible na Cookie. Enzi hizo mda huo tayari mchumba nisha tafutiwa. lol. Mbabu alikua na ndevu kama za Osama.
Blaki Womani na Mzalendo80 nimefurahi kuwaona wapendwa.... Naamini weekend ilikua ni njema kwenu na wapendwa wenu.
Hahaaaaaaaaaa, vipi Ritz naye yupo?
Mh Fang lugha gani hii?Madame RussianRoulette, je peux demander un rendez vous par force juste pour le contact'
Madame RussianRoulette hapo kwenye red pameniogopesha lol
Hahahaha, Fang, let's sort our pending issues on PM before we think of a date, shall we? hahaha.Madame RussianRoulette, je peux demander un rendez vous par force juste pour le contact'
Mi mzima kabisa. Hao mamba wanajulikana, mi mjusi tu katika msafara wao...Madame RussianRoulette hapo kwenye red pameniogopesha lol
Kumbe kuna mamba? Ngoja nilale zangu!
BTW:Mzima?
Hahahahaaaa RussianRoulette umenimecheka kiukweli DahHahahaha, Fang, let's sort our pending issues on PM before we think of a date, shall we? hahaha.
Mi mzima kabisa. Hao mamba wanajulikana, mi mjusi tu katika msafara wao...
Fang ni bonge la Lacoste yule, usijaribu! lolHahahahaaaa RussianRoulette umenimecheka kiukweli Dah
Halafu Fang kakugongea like....Lol sijui na yeye ni nanii au yuko nawewe kwenye kundi lako...Teh