Bigirita
Platinum Member
- Feb 12, 2007
- 15,986
- 7,366
nawajua wote hao na nawaheshimu ila sijaelewa unamaanisha nini,sipo hapa kushndana nipo kubadilishana na wenzangu v2 mbalmbl..walikufanyia mulwahada nini hao?
kwanza acha kuandika vifupisho vya facebook/wanavyotumia watoto wa form IIB, halafu tutaendelea kuongea.