matumbo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 7,225
- 3,944
We jamaa acha dharau nimekutumia Pm juu ya suala la msingi sana kwa uwepo wangu hapa Jf,ila mpaka hivi sasa kimya ata jibu lolote hunipi..ayo sio mambo mchizi wangu,izo habari za kujiskia kavu sana..
We mwenyewe unajua mchango wangu humu jamvini na heshima ninayopewa na memba wote humu,yote sababu ya umakini,busara,ufahamu na intelligence yangu..au jf ina wenyewe?
We mwenyewe unajua mchango wangu humu jamvini na heshima ninayopewa na memba wote humu,yote sababu ya umakini,busara,ufahamu na intelligence yangu..au jf ina wenyewe?