Investors Reach, Hii Kampuni ni Wezi/Matapeli kuweni nao Makini

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Jul 29, 2013
10,512
23,723
Wamekuwa wakituma mails kwa walioomba ajira kuwaelezea kuwa wamekuwa shortlisted. Baada ya maelezo mengi mwishoni wanasema mwombaji kazi inabidi utume tsh 9,500 kupitia namba ya Tigo tajwa ili kuchangi breakfast ukienda kufanyiwa interview. Huu ni wizi. Ina maana wao walipoandaa interview hawakujipanga? Na nani alisema ni lazima akienda akanywe chai? Huu ni utapeli kwa Watanzania hawa maskini wenye shida na kazi. Fikiri wakituma msg hizo kwa watu 5000 walioomba kazi?watakuwa na tsh ngap? Na nafasi wamejaribu kutangaza nyingi kwa mikoa mbalimbali ili kuwavutia wengi sana.

Someni kiambatanisho hapo chini.
 

Attachments

  • Screenshot_2016-07-19-09-20-28.png
    Screenshot_2016-07-19-09-20-28.png
    56.3 KB · Views: 53
  • Screenshot_2016-07-19-09-20-51.png
    Screenshot_2016-07-19-09-20-51.png
    63.1 KB · Views: 48
hivi, hawa TCRA, ipo macho kweli au ipo tu? hizi ofisi nadhani mkuu wa nchi anatakiwa kuzitupia macho
 
Yani mie ningekua mkuu wa TCRA naweka mtego kumkamata au kuwakamata hawa watu kisha naenda National Stadium au Jangwani na mabango wameshika yameandikwa "MATAPELI WA AJIRA NCHINI" na kuwatandika bakora 20 kila mmoja kama tamasha vile...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom