Mwigigi Juani
Member
- Mar 23, 2012
- 42
- 9
Kwa yeyote anayejua naomba atujuze kama anajua lolote maana ni muda kama wiki 2 sasa naona kimya.
Wakuu mbona watu washaanza kazi, nyie bado mnasubiria tu. Ukiona manyoya ujue tayari kshaliwa huyo.
Acha uzushi we nyambafu nini...watu wako siriazi we unaleta upuuzi wako nenda huko ktk jukwaa la umbea na udaku....nyaaaambaf
Acha uzushi we nyambafu nini...watu wako siriazi we unaleta upuuzi wako nenda huko ktk jukwaa la umbea na udaku....nyaaaambaf
Asante sana kwa matusi yako. We endelea tu kusubiri, ukipata njoo utuambie hapa JF.