255Texter
Senior Member
- Aug 31, 2007
- 150
- 8
Ndugu zangu wana-JF, tunakubaliana kimsingi kwamba raisi wetu ni "PUMBA". He is very shallow in his answers to very complex and sensitive questions and this can very well imply that he's shallow in his understanding, processing and thinking of these issues - garbage in - garbage out.
Lakini cha kusikitisha ni kwamba, si wantanzania wengi wanaotafakari na kuchambua uwezo wa huyu Rais in teh way that we (wanaJF) do, kwa hiyo kwa waTanzania wengi huyu jamaa bado ni genius, bado ni Einstein kwao. This speaks a million kuhusu uwezo wa kiakili na kifikra wa waTanzania wengi. Kama umma una uwezo kifikra, then umma huo utatoa kiongozi mwenye upeo wa juu kama wao. Lakini kama umma ni primitive, then even their leaders(KIKWETE et al) pia watakuwa na primitive and unpolished way of analysing issues.
This maybe offensive to some, but it is the naked truth kuhusu nchi yetu ya Tanzania. We are far, far behind not only katika economic development lakini pia in social development, which is crucial for realising development in other sectors.
DISCLAIMER: 255Texter is a Tanzanian right wing nationalist residing in Tanzania
Lakini cha kusikitisha ni kwamba, si wantanzania wengi wanaotafakari na kuchambua uwezo wa huyu Rais in teh way that we (wanaJF) do, kwa hiyo kwa waTanzania wengi huyu jamaa bado ni genius, bado ni Einstein kwao. This speaks a million kuhusu uwezo wa kiakili na kifikra wa waTanzania wengi. Kama umma una uwezo kifikra, then umma huo utatoa kiongozi mwenye upeo wa juu kama wao. Lakini kama umma ni primitive, then even their leaders(KIKWETE et al) pia watakuwa na primitive and unpolished way of analysing issues.
This maybe offensive to some, but it is the naked truth kuhusu nchi yetu ya Tanzania. We are far, far behind not only katika economic development lakini pia in social development, which is crucial for realising development in other sectors.
DISCLAIMER: 255Texter is a Tanzanian right wing nationalist residing in Tanzania