Natafuta kazi
Member
- May 10, 2012
- 31
- 1
Habari wakuu,
naombeni msaada. nimeitwa kwenye interview BHC wamesema itakua ni written na pia discussion ya roles za hiyo kazi. naombeni mnipe angalau mwanga kuwa huwa inakuaje. plz plz nifumbueni macho wakuu. i ril need that job.
thank you.
naombeni msaada. nimeitwa kwenye interview BHC wamesema itakua ni written na pia discussion ya roles za hiyo kazi. naombeni mnipe angalau mwanga kuwa huwa inakuaje. plz plz nifumbueni macho wakuu. i ril need that job.
thank you.