majiyashingo
Member
- Feb 2, 2011
- 44
- 2
Jamani habari za Jioni
Nahitaji Internet Connection yenye Speed kubwa kwa kampni ya watu kama 15 ambayo tunaweza kudownload chochote tunachokihitaji na ambayo haina tatizo kabisa je ni ipi kamuni nzuri inatoa huduma za Internet kwa makapuni je Bei zao zipo vipi kwa mwezi?
Nahitaji Internet Connection yenye Speed kubwa kwa kampni ya watu kama 15 ambayo tunaweza kudownload chochote tunachokihitaji na ambayo haina tatizo kabisa je ni ipi kamuni nzuri inatoa huduma za Internet kwa makapuni je Bei zao zipo vipi kwa mwezi?