Internet ya TTCL Mobile na na bei Internet bundles kwa ujumla

Uncle natumia Unlimited Internet mwezi wa nne sasa na nilivyoanza kutumia nilikuwa na modem yenye uwezo wa 3G, ambayo speed haikuwa kubwa sana lakini baada ya kupata 3.5G speed imeongezeka. natumia torrent files katika downloads na kwa torrents zenye peers wengi speed hufika mpaka 100-170kbps usiku. vilevile nimefanya comparison ya hizo modem mbili katika browsing the internet, 3.5G ipo fast sana beyond ur expectations..with 3.5G modem, its possible to do downloads beyond 15GB per month if downloads are made regularly..!!fanyia utafiti hilo uone :A S-key:...

Kwa taarifa yako mimi ninazo modem zote hapa ttcl, voda, tigo, airtel na zantel. Kama tatizo ni speed kwakweli ttcl na zantel nikiboko speed yao iko juu sana wengine wanaiga ila tatizo bei! Zantel mpaka uwe high life member ndio una enjoy bei. Airtel wana 400mb kwa mwezi lakini kwa speed yao unaweza tupa modem
 
ina maana huwez kujiunga mwenyewe kwa sms?ushaanza kunipa sababu za kutonunua hyo mdm...wats ths?
Km hutaki kuinunua hujashikiwa fimbo mkuu...unaweza kununua hizo unazojiunga kwa sms. Kikubwa hapa ni kuwa hakuna sehemu utakapozinunua hizo modem except kwenye vituo vyao vya huduma, na hapo vituoni wanayo access ya kukuunganisha. so pindi unaponunua utawauliza kuhusu hiyo huduma watakuunganisha
 
Kwa taarifa yako mimi ninazo modem zote hapa ttcl, voda, tigo, airtel na zantel. Kama tatizo ni speed kwakweli ttcl na zantel nikiboko speed yao iko juu sana wengine wanaiga ila tatizo bei! Zantel mpaka uwe high life member ndio una enjoy bei. Airtel wana 400mb kwa mwezi lakini kwa speed yao unaweza tupa modem
Nilisema kwenye bandiko langu hpo juu kuwa technology wanayoitumia ttcl, zantel na sasatel ni CDMA wakati mitandao mingine ni GSM, utofauti wa speed ni dhahiri
 
Nilisema kwenye bandiko langu hpo juu kuwa technology wanayoitumia ttcl, zantel na sasatel ni CDMA wakati mitandao mingine ni GSM, utofauti wa speed ni dhahiri

Natumia TTCL Mobile (CDMA) na Airtel (3.5 G), spidi kwa sasa ziko equivalent
 
Uncle natumia Unlimited Internet mwezi wa nne sasa na nilivyoanza kutumia nilikuwa na modem yenye uwezo wa 3G, ambayo speed haikuwa kubwa sana lakini baada ya kupata 3.5G speed imeongezeka. natumia torrent files katika downloads na kwa torrents zenye peers wengi speed hufika mpaka 100-170kbps usiku. vilevile nimefanya comparison ya hizo modem mbili katika browsing the internet, 3.5G ipo fast sana beyond ur expectations..with 3.5G modem, its possible to do downloads beyond 15GB per month if downloads are made regularly..!!fanyia utafiti hilo uone :A S-key:...

Hili na mimi nitalifanyia utafiti, ingawa coverage ya 3G ya voda sio kubwa, ukishavuka kimara au ubungo external haipo tena, unatumia EDGE ambayo ki ukweli kabisa ni technologia iliyopitwa na wakati
 
Mimi nimeshatumia modem zote Voda,airtel,zantel,tigo,sasatel,ttcl hadi za nchi jirani yaani MTN ya Rwanda na Safaricom ya Kenya lakini hamna kitu,nasema hamna kitu kwa sababu hiyo CDMA mnayoizungumzia haipo latest kama WCDMA na HSDPA ambazo zinatumika hadi Ulaya na speed yake ni kuanzia 3.6mbs hadi 7.6 Mbps so modem za voda zina uwezo wa hadi kufikia 7.6mbs na za Airtel ni 3.6mbs lakini ya Airtel ni zaidi na ambayo mimi naitumia kwani haikatikati coz huwa naangalia live match za pemium ligi za UK bila ya kukatikakatika kama mitandao mingine,na inategemea na laini unayotumia kwenye modem yako kwani zile laini za zamani zilizoandikwa Zain ndio zina WCDMA na HSDPA ambayo speed yake ni 3.6mbps na hizi za sasa hivi zilizoandikwa Airtel zina speed ya 286kbps sasa hii haiangalii uko mahali gani ili mradi mnara uwepo tu coz mimi husafiri na Laptop yangu hadi Sumbawanga vijijini lakini speed ya net inakuwa ni ile ile tu.....
 
Mimi nina modem ya ttcl na ninachofahamu wana charge kwa time na si kwa bundle kama wengine. Wao wana huduma inaitwa Banjuka ndio ukiunganishwa nayo una access internet yao kwa speed ya 3mbps. So unaweza kudownload any thing just within a time na fixed rate zao na 1000/- kwa saa kuanzia saa12asb mpaka saa 11 jioni, 800/- kwa saa kuanzia saa 11 jioni hadi saa 3 usiku. Na 500/- kwa saa kuanzia saa 3 usiku mpaka 12 asb.

jee hawa hii modem yao inatumia cdma au hsdpa.? na kama tukiwa mbali na mji jee spidi nayo inakuwa powa au?
kuna mtu yeyote aliefikisha 3mbps = 375Kb/s yaani ndani ya dakika moja unadownload file la 375x60= 22Mb au chini kidogo lets say 18mb.
au kwa uhalisia zaidi ndani ya lisaa limoja yupo aliepata kudownload 1GB.
 
The table following shows the 33 bundles available from the four major cellphone data providers. Bundle = name from the provider; MB = megabytes of data provided; TSH = cost of the bundle; TSH/MB = cost per megabyte of the bundle; Validity = days the bundle lasts for.
ProviderBundleMBTSHTSH/MBValidity
Airtel25MB25150060.030
Airtel150MB150600040.030
Airtel250MB2501000040.030
Airtel500MB5001200024.030
Airtel1GB10241500014.630
Airtel2GB20482500012.230
Airtel3GB3072300009.830
Airtel5GB5120450008.830
Airtel8GB8192700008.530
Airtel15GB153601400009.130
ZantelZ-Mini50100020.01
ZantelZ-Small300300010.01
ZantelZ-Regular102470006.87
ZantelZ-Mono5120200003.930
ZantelZ-Silver8192400004.930
ZantelBronze60040006.730
ZantelGold14336900006.345
ZantelPlatinum256001400005.545
Vodacom25MB2525010.01
Vodacom50MB504509.01
Vodacom100MB1007007.01
Vodacom150MB150250016.77
Vodacom500MB500750015.07
Vodacom100MB100200020.030
Vodacom500MB500800016.030
Vodacom1024MB10241500014.630
Vodacom5120MB5120200003.930
TigoDay2050025.01
TigoDay1007507.51
TigoDay250450018.01
TigoWeek150280018.77
TigoWeek750850011.37
TigoWeek20482500012.27
TigoMonth600850014.230
TigoMonth3072250008.130
TigoMonth51205500010.730
TigoMonth10240990009.730
TTCLDaily 50 1,50030.01
TTCLWeekly 1,024 8,0007.87
TTCLWeekly 2,048 15,0007.37
TTCLMonthly 500 20,00040.030
TTCLMonthly 600 30,00050.030
TTCLMonthly 1,024 40,00039.130
TTCLMonthly 2,048 60,00029.330
TTCLMonthly 4,096 90,00022.030
 
mi natumia zte, ukitaka kujiunga na huduma ya banjuka unawapigia katika namba yao ya huduma ya huduma kwa wateja 100, then unawaambia wakuweke katika huduma ya banjuka. mpaka hapo watakuwa wamekuweka
 
Ngoja nijaribu kuhamia zantel maana voda siku mbili hizi waminiboa sana.
 
Hawa hawana lolote hawafuati nyakati ! Bei zao labda watumie wenyewe kwa mfano mb 150 elfu 15000/= wakati wengine ni elfu 2500 ! ! Watabaki hivyo hivyo !!!
 
Back
Top Bottom