Of course, mwenyewe bila kutumwa umeingiza mkono kwene mzinga wa nyuki, ukishaumwa kinachofuata ni mbio na mayowe.
Ok ma men u win,if that is what u want to hear.As wise men said 'If a crazy man takes u'r cloth as your bathing and runs.Walk away into the bushes cause when u chase him not 1 crazy man will b seen but 2 crazy men.'I'M OUT.
Ok ma men u win,if that is what u want to hear.As wise men said 'If a crazy man takes u'r cloth as your bathing and runs.Walk away into the bushes cause when u chase him not 1 crazy man will b seen but 2 crazy men.'I'M OUT.
Well said about what?Well said
Well said about what?
atupo kufundisha wizi tena hadharani unajua utakuwa umeharibu watu wangapi hapa jamvini?
Usidandie kwa mbele treni usilojua linakoelekea..Kaazi kwelikweli! Kujua kwingi mbele kiza!
drphone, bila ugomvi wala marumbano, post yangu haifundishi kuiba internet, nilikuwa nawajibu hawa jamaa wanao mponda mshkaji alieuliza swali, na sio ki2 cha ajabu kuskia wa2 wana hack internet free, We ni mtundu wa simu bt am sure na nauhakika unajua inawezekana.
kijana m-pm drphone namuamini huyu jamaa ni bingwa wa utaalamu japokuwa hakuweza nisaidia mm.
au uonyeshe kadi ya kliniki!...lol!)