Internet ya bure

Kwakweli Majibu ya Hapo Juu si ya kiungwana Kabisa....... Sasa mnataka mtu aje kuuliza swali wakati anajua jibu..... Halafu swali la umri hivi mnajua statistically vijana wadogo wanajua zaidi kuhusu technology kuliko wakubwa...... now back to the point Mzux D wewe ni mgeni jamvini usije ukadhani watu wote humu jamvini wako hivi... karibu sana....... kujibu swali lako ni kweli unaweza kutumia simu yako kama modem kwahiyo kupata uwezo wa kutumia kwenye laptop au desktop kwa kutumia USB..... now kuhusu charges itategeme mambo mawili; kwanza inabidi mtandao unaokusupply uwe na offer ya bure (kama kipindi kile cha ramadhani zain walikuwa na offer ya internet bure usiku) ya pili ni njia ya wizi (hacking) ambayo hii sikushauri...... lakini itakuwa cheaper ununue USB modem ambazo sasa si bei ya juu mfano unaweza ukapata package ya 2gb zantel au 3gb zain kwa wiki kwa alfu 10,000 which is cheap.... kutumia simu yako kama modem ni very expensive kwakuwa information kwenye simu (upload/download) ni ndogo ukilinganisha kwenye pc.... kama bado una swali PM me we are here to help each other thanks

Unachekesha Eti" hivi mnajua statistically vijana wadogo wanajua zaidi kuhusu technology kuliko wakubwa......mmmmh! Mbona haiclick kwenye ubongo wangu?? Naomba utufafanulie wanaJF
 
Unachekesha Eti" hivi mnajua statistically vijana wadogo wanajua zaidi kuhusu technology kuliko wakubwa......mmmmh! Mbona haiclick kwenye ubongo wangu?? Naomba utufafanulie wanaJF


Muhasisi wa mtandao wa Facebook sasa hivi ana miaka 26 je wakati anaanza mautundu ya tekinolojia alikuwa na miaka mingapi? ubishi mwingine pelekeni kwenye vijiwe vya kahawa.
2. anaetaka internet ya dezo. kwa sisi wana wa Dar es salaam fika pale Kilimanjaro kempinski Hotel kama una simu au laptop unaconnect bure kwenye wlan wireless yao ambayo wala hawajaificha, ukifika tu maeneo ya kempinski simu yako lazima itakuonesha kama kuna free wlan wire less.
tena mimi ni mbumbumbu kwenye mambo haya mbona najuwa kama kuna sehemu huwa tunatumia internet bure? usione wahindi wamekaa pale kempiski masaa 6 ukazani anafanya la maana , hamna kitu ni kubana matumizi na wengi huwa wanaitumia hiyo loop hall kama wanataka kudownload mavitu yenye GB nyingi.
je mpaka hapo hujatumia internet bure? www.kilimanjarohotel.co tz
 
che che che unapenda dezo dezo x 2
kodi ya nyumba hulipi, ebwaaaaaa yatakushindaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Asilimia kubwa ya watu walio comment hii thread nahisi mpo mbali na technologia ndio maana mnaona kama vile ameuliza pumba.

Ningependa kuwajuza nyie msiojua, hii inawezekana tena 100%, ila kinachotakiwa ni ku jua proxy setings ambazo mtandao hautazitambua. Kwa mfano, proxy server ya voda inakuwa hvi, "10.154.000.008" na proxy port inakuwa "9401" au "8080". Sasa inategemeana na maeneo cos hizi proxy zinatengenezwa kufuatana na minara inayopokea signal za internet,

kwa nyie msiojua jamaa anamaanisha nini, anahtaji jinsi yakupata internet ya bure, bt inshort inawezekana ila mpaka uwe hacker, au upewe na wanao zitengeneza hzi proxy,
 
% kuwa ya walio comment hapa ni wafuasi wa kule MAU na kule Ahera.... Wa achieni wenye ujuzi na mambo haya wamsaidie kumuelewesha dogo, siyo mna kuja hapa na kutoa kejeli utadhani tuko kwenye kijiwe cha kahawa!
 
Guys i suggest kwa ustaarabu, wote mliomkejeli Mr. Mzux D mgongee Thanx sababu swali lake ilikuwa zuri sana na hapa ndio mahala pake.... Please before we start blasting someone kwanza tuangalie amejiunga lini na kama anataka msaada tumsaidie binafsi nasema KARIBU SANA JAMVINI MR. MZUX D... NA MASWALI YAKO NI MAZURI BINAFSI KILA NIKIWEZA TAKUJIBU.

AM THE WISEST MAN ALIVE CAUSE I KNOW THAT I KNOW NOTHING......
 
Unachekesha Eti" hivi mnajua statistically vijana wadogo wanajua zaidi kuhusu technology kuliko wakubwa......mmmmh! Mbona haiclick kwenye ubongo wangu?? Naomba utufafanulie wanaJF
Sababu ya utundu na kutokuwa waoga vijana wengi sio waoga kwenye Technology wanapenda kujaribu na kudadisi pia since technology imekuwa kwa kasi recently vijana (dot.com generation) wamezaliwa na kukua wakati wa technology tofauti na wazazi wao ambao ni kitu kipya
 
Unachekesha Eti" hivi mnajua statistically vijana wadogo wanajua zaidi kuhusu technology kuliko wakubwa......mmmmh! Mbona haiclick kwenye ubongo wangu?? Naomba utufafanulie wanaJF
Haitasaidia kumwuliza mtu ambaye ameshaamua kutetea upuzi.
 
Muhasisi wa mtandao wa Facebook sasa hivi ana miaka 26 je wakati anaanza mautundu ya tekinolojia alikuwa na miaka mingapi? ubishi mwingine pelekeni kwenye vijiwe vya kahawa.
2. anaetaka internet ya dezo. kwa sisi wana wa Dar es salaam fika pale Kilimanjaro kempinski Hotel kama una simu au laptop unaconnect bure kwenye wlan wireless yao ambayo wala hawajaificha, ukifika tu maeneo ya kempinski simu yako lazima itakuonesha kama kuna free wlan wire less.
tena mimi ni mbumbumbu kwenye mambo haya mbona najuwa kama kuna sehemu huwa tunatumia internet bure? usione wahindi wamekaa pale kempiski masaa 6 ukazani anafanya la maana , hamna kitu ni kubana matumizi na wengi huwa wanaitumia hiyo loop hall kama wanataka kudownload mavitu yenye GB nyingi.
je mpaka hapo hujatumia internet bure? www.kilimanjarohotel.co tz

Hiyo ni open wireless hotspot..it does not answer the general question asked..
 
% kuwa ya walio comment hapa ni wafuasi wa kule MAU na kule Ahera.... Wa achieni wenye ujuzi na mambo haya wamsaidie kumuelewesha dogo, siyo mna kuja hapa na kutoa kejeli utadhani tuko kwenye kijiwe cha kahawa!
Wacha vichekesho wewe..kama kungekuwa na free internet..kungekuwa na ISPs? tooo much knowing..
 
kuuliza siku zote si ujinga......nimesikitishwa na majibu mengi humu
halaf mbaya kuliko zote huyu anaeuliza anaonekana anajua kuliko hawa wanaojibu mautumbo. internet la bure lipo bana nyinyi mpo ulimwengu gani? labda issue ni kwamba sio legal tu. watu wanalifyonza internet kupitia mawireless kuliko ndama anavyofyonza mimaziwa ya ng'ombe mama.
sory mkuu nimequote post lako lakini wewe hauhusiki kabisa na tuhuma hizi.
 
halaf mbaya kuliko zote huyu anaeuliza anaonekana anajua kuliko hawa wanaojibu mautumbo. internet la bure lipo bana nyinyi mpo ulimwengu gani? labda issue ni kwamba sio legal tu. watu wanalifyonza internet kupitia mawireless kuliko ndama anavyofyonza mimaziwa ya ng'ombe mama.
sory mkuu nimequote post lako lakini wewe hauhusiki kabisa na tuhuma hizi.

Unajua hata wavelength / perimeter za wireless? au kwa sababu hulipii kutuma post?
 
Unajua hata wavelength / perimeter za wireless? au kwa sababu hulipii kutuma post?
kamanda sasa hapo ndipo unapofuja, jamaa kauliza suali simpo kabisa , net ya bure, sasa mambo ya wavelength na perimiter utazani tunafanya mtihani wa fiziks bana .mimi ninachoelewa ni kwamba mimi binafsi nishawahi kuikong'ota net kwa miezi kadhaa bila kulipia single penny, tafauti labda ni kwamba yeye anaulizia bongo a.k.a graveyard, mimi sikuikong'ota bongo. lakini kuna mdau hapo juu ameelezea kwamba hata hapo bongo wikileaks za bure zinapatikana tu bila usumbufu na wadosi wanatelea tu.
 
Wakuu vp nisaidieni jinsi gani ku-setting up intaneti ya bure kwenye simu na laptop?

Imategemea upo wapi. Kama uko sehemu za miji mikubwa unaweza kupata connection kwenye laptop yako kama uko na majirani ambao wana connection ambazo hazijawa protected. Lakini kama connection zao ziko protected huwezi kupata ... ..... very soon kwenye hotels wanakuwa na hiyo free service ... ..... kwenye simu za mikononi inategemea na nework operator wako.
 
I hope nimekujibu mkuu.....

mimi sijamuelewa huyu kijana ,Anataka net ya bure Wireless au? Na kama ni wireless lazima itakuwa inalipiwa siyo lazima alipie yeye ila wale wenye hiyo wireless ndio watakaokuwa wanalipia gharama,Na vile vile kama wireless net ipo NewAfrika hotel na Mzux D anakaaa Tegeta lazima Atumie nauli/mafuta kuweza kufika huko bado atatumia gharama Umenisoma VOICEOFREASON?? Na kuhusu swala la kuhack hilo nalipinga siyo rahisi kwani sasa hivi tekinolojia imeboreshwa siyo rahisi m2 kuweza kuHack kirahisi namna hiyo....!Eti tekinolojia wa2 hawaijui ??? Inshort Dogo ilbidi afafanue na watu wanamzingua kwa sababu ameuliza swali ambalo majibu anayo mwenyewe.
 
Na kuhusu swala la kuhack hilo nalipinga siyo rahisi kwani sasa hivi tekinolojia imeboreshwa siyo rahisi m2 kuweza kuHack kirahisi namna hiyo....!Eti tekinolojia wa2 hawaijui ??? Inshort Dogo ilbidi afafanue na watu wanamzingua kwa sababu ameuliza swali ambalo majibu anayo mwenyewe.

Of course sio rahisi always ukipata loop hole wenye network wanaziziba hiyo sio destinaton ni journey since wanaotengeneza security wana akili kama wanauovunja security kwahiyo hii ni battle kutoka kwa wenye mali na hackers... kwahiyo ni time consuming na hata ukifanikiwa ni for a short time..... kwahiyo is it worth it (Hapana) ndio sababu mimi sijafanya.. lakini uwezekano upo; hackers huwa wanafanya vitu sio sababu to kusave pesa hapana lakini hata tu kuonyesha kwamba they can beat the system
 
Asilimia kubwa ya watu walio comment hii thread nahisi mpo mbali na technologia ndio maana mnaona kama vile ameuliza pumba.

Ningependa kuwajuza nyie msiojua, hii inawezekana tena 100%, ila kinachotakiwa ni ku jua proxy setings ambazo mtandao hautazitambua. Kwa mfano, proxy server ya voda inakuwa hvi, "10.154.000.008" na proxy port inakuwa "9401" au "8080". Sasa inategemeana na maeneo cos hizi proxy zinatengenezwa kufuatana na minara inayopokea signal za internet,

kwa nyie msiojua jamaa anamaanisha nini, anahtaji jinsi yakupata internet ya bure, bt inshort inawezekana ila mpaka uwe hacker, au upewe na wanao zitengeneza hzi proxy,

atupo kufundisha wizi tena hadharani unajua utakuwa umeharibu watu wangapi hapa jamvini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom