Al shabab
Member
- May 21, 2011
- 71
- 6
kuna kaujanja kanatumika ktk mtandao mfano una laini yako ya tigo au airtel,kuna jinsi unafanya then unapata internet bure muda wote miaka yote,kama hamjui hiyo siri,ni kwamba ipo!niliwahi muona jamaa wapatao wawili wenye laini tofauti wana enjoy maisha.je kuna anayejua kufanya hayo hapa jf?msaada pls!