Vin Diesel
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 9,088
- 6,368
tusongelee wino na mate yapo.umesikia wapi?
tutaona muda ukifika ndipo utajua kwamba mate ni bora kuliko wino
tusongelee wino na mate yapo.umesikia wapi?
tusongelee wino na mate yapo.
tutaona muda ukifika ndipo utajua kwamba mate ni bora kuliko wino
Ubaya wa Airtel ni kwamba net yake uwa ina ji-disconnect yenyewe kila baada ya saa moja........ hivyo inakubidi usilale iki-jidisconnect una connect tena au uifanye iwe auto.duh! jamani kesho kazi ipo. yani leo usiku kazi ipo mimi nitakuwa wa kwanza kisha nitajua lakufanya nkamilishe mambo yangu.
lakini hivi nikwahii wikend tu ama wikend zote? hadi waseme basi?
Ni kweli mkuu, alafu wana kulimit unapewa 200 MB kwa usiku mmoja hivyo kwa siku tatu utaweza kutumia 600MBkumbe ni kuanzia saa 5:00 usiku hadi ssa 12:00 asubuhi? Kama ni hivyo hii ni wizi mtupu
kumbe ni kuanzia saa 5:00 usiku hadi ssa 12:00 asubuhi? Kama ni hivyo hii ni wizi mtupu
Hapa mimi nina swali kwani saa 5 si ndio muda wa kulala na saa 12 si ndio muda wa kuamka? sasa kuna offer gani hapo! kenge wa bluu kabisa hawa nyambafu.
Wakuu,
Mtandao wa Airtel umetoa offer ya internet kwa siku 3 , hii ni kwa watumiaji wa simu pamoja na Modem... Offer hii inaanza kesho ijumaa hadi jumapili saa 6 usiku.
Na wasi wasi uenda wakatubania spee d ya internet,pia nadhani kuna kitu wanataka kuangalia.
hii habari haina ukweli wowote..