Uncle Rukus
JF-Expert Member
- Jun 16, 2010
- 2,415
- 398
Wakuu,
Mtandao wa Airtel umetoa offer ya internet kwa siku 3 , hii ni kwa watumiaji wa simu pamoja na Modem... Offer hii inaanza kesho ijumaa hadi jumapili saa 6 usiku.
Na wasi wasi uenda wakatubania spee d ya internet,pia nadhani kuna kitu wanataka kuangalia.
Mtandao wa Airtel umetoa offer ya internet kwa siku 3 , hii ni kwa watumiaji wa simu pamoja na Modem... Offer hii inaanza kesho ijumaa hadi jumapili saa 6 usiku.
Na wasi wasi uenda wakatubania spee d ya internet,pia nadhani kuna kitu wanataka kuangalia.