Internet Service Providers(ISP)

junior05

Senior Member
May 3, 2011
186
46
Wanajamii tumekuwa watumiaji wazuri sana wa internet,kwa kutumia vifaa mbali bali i.e computers,laptop,smartphones na hata mobile phones imekuwa rahisi kupata habari za kitaifa na kimataifa.

Je ni wangapi tunaofahamu,internet ni ni kitu gani na kwa jinsi gani tunapata hizo habari Internet-ni muunganisho wa network mbalimbali kwa ajili ya kupatiana au kubadilishana taarifaMoja ya kazi kubwa za ISP ni utoaji wa huduma za internet na ili upate internet ni lazima uwe umeunganishwa na ISP,i.e modem,cable au satellite.

ISP wamegawanyika katika makundi matatu,mgawanyiko huu unatokana na kwa kiasi gani wapo karibu na internet backboneISP tier 1-haya ni makampuni makubwa kabisa ya ISP ambayo yamejiunganisha kwa peer connection,direct connection au IXP(muunganisho wa ISP kwa region), media inayotumika ni fiber,kwa pamoja tier1 ISP wanatengeza global internet na kufika popote duniani.

Tier2 ISP-hili ni group la ISP ambalo pamoja na kuwa na direct connection zao,bado hulipia Tier1 ISP to reach remote locations

Tier3 ISP-hili ni group la mwisho la ISP ambalo humfikia end user na ili kupata internet hulipia Tier2 na wakati mwingine Tier1 ISP

Nawasilisha
 
nikitaka huduma toka Tear 1 si bei itapungua?? au hao tear 1 hawasambazi kwa end user? ?
 
Si rahisi kupata direct connection
Kwanza Tier hawatoi connection kwa end users.wao ni information super highway that provides high-speed data links to interconnect the POPs and IXPs in major metropolitan areas around the world.
Sababu internet haiwi managed na organization moja lakini Tier1 ISP kwa pamoja they are the internet backborn
Hata hivyo kwenye kupunguza gharama za internet,muungano wa ISP mfano kwa ukanda kwa direct connction wanatengeneza IXP so kama unaaccess kitu kichopo ndani ya ISP mwingine ambaye yumo within your region,haufiki kwenye Tier 1 au 2
 
Wanajamii tumekuwa watumiaji wazuri sana wa internet,kwa kutumia vifaa mbali bali i.e computers,laptop,smartphones na hata mobile phones imekuwa rahisi kupata habari za kitaifa na kimataifa
Je ni wangapi tunaofahamu,internet ni ni kitu gani na kwa jinsi gani tunapata hizo habari
Internet-ni muunganisho wa network mbalimbali kwa ajili ya kupatiana au kubadilishana taarifa
Moja ya kazi kubwa za ISP ni utoaji wa huduma za internet na ili upate internet ni lazima uwe umeunganishwa na ISP,i.e modem,cable au satellite
ISP wamegawanyika katika makundi matatu,mgawanyiko huu unatokana na kwa kiasi gani wapo karibu na internet backbone
ISP tier 1-haya ni makampuni makubwa kabisa ya ISP ambayo yamejiunganisha kwa peer connection,direct connection au IXP(muunganisho wa ISP kwa region),media inayotumika ni fiber,kwa pamoja tier1 ISP wanatengeza global internet na kufika popote duniani
Tier2 ISP-hili ni group la ISP ambalo pamoja na kuwa na direct connection zao,bado hulipia Tier1 ISP to reach remote locations
Tier3 ISP-hili ni group la mwisho la ISP ambalo humfikia end user na ili kupata internet hulipia Tier2 na wakati mwingine Tier1 ISP
Nawasilisha

Jee IXP ya Tanzania inafanya kazi? Wangapi bado wamejumuika?
 
Back
Top Bottom