stringerbell
Member
- Feb 19, 2010
- 86
- 0
wakuu nataka kuanzisha internet cafe hapo bongo mimi nipo state nataka kujua kawaida how much do you charge per hour this days ?na internet provider fee yao ni kiasi gani kwa mwezi.thanks
==============================================================
==============================================================
Sehemu nyingi ni shilingi 1000 kwa saa moja ila hii ni kwa nje ya jiji , kati kati ya mji ni alfu 1500 kwa saa moja kwingine ni 1000 kwa Nusu saa inategemea na maeneo kwa sasa biashara ya net inalipa kwa kiasi kikubwa unatakiwa utafute location nzuri tu , uwe na wafanyakazi wazuri na pia komputa nzuri matatizo ya connection ya internet sio ishu siku hizi ni wewe tu
Me nadhani kwa kuanza, ungeanzisha wireless hotspot. Watu wengi wana laptop hapa bongo. Kwa pale mlimani city kuanzisha internet cafe, unabidi ujiandae na renting fee ambayo ni ya kufa mtu.
Ila, unaweza ukapata sehemu karibu na mlimani city, then ukatafuta wireless device ambayo ni powerful inayoweza ku beam hadi pale mlimani city. Wireless network yako isiwe na security, ili kila mtu aweze ku connect.
Ila after connection, they get a message on how to pay to get a service. This is easy to do na kuna software zinasupport. Alafu, wewe unatengeneza voucher cards zenye activation code zinazoweza kumpa mtu muda wa saa 1 2, 3 kutokana na mahitaji. Ongea na watu wa pale restaurants wakuuzie hizo vouchers kwa commission flani.
Kama upo US, kupata powerful wireless devide its easy. I know how to assemble equipments that ca beam up to 10 - 15 km distance. So ukiwa pale karibu na mlimani city, unaweza uka beam mpaka ubungo bila wasi wasi. It will roughly cost around 300 - 400 bucks.