Internet access,hapa vipi?

Bendera ya Bati

JF-Expert Member
Apr 6, 2011
279
363
Habari ndugu zangu wanaJF,Jamani naomba msaada kwa ma-expert wa masuala ya computer juu ya nini cha kufanya kwa computer yangu,maana ninashindwa ku-access internet kupitia internet explorer na baadala yake natumia ujanja wa path nyingine ambayo ninaweza kuingia lakini tatizo linabaki pale ninapotaka kulink na web zingine,automatically ninarudishwa kulekule kwenye internet Explorer ili ku-search,kitu ambacho ndilo tatizo langu kubwa.
Haya ni baadhi ya maneno yanayojitokeza baada ya ku-click kwenye icon ya internet Explorer; (Enternet explore has encounted a problem with an add-on and needs to close).
 
Download mozilla firefox version 4 hii ni latest version imefunngwa add on tayari na haisumbui kabisa.
 
kama unapendelea zaidi IE basi download latest vesion ambayo ni 9, ila mozilla ipo poa zaidi
 
Habari ndugu zangu wanaJF,Jamani naomba msaada kwa ma-expert wa masuala ya computer juu ya nini cha kufanya kwa computer yangu,maana ninashindwa ku-access internet kupitia internet explorer na baadala yake natumia ujanja wa path nyingine ambayo ninaweza kuingia lakini tatizo linabaki pale ninapotaka kulink na web zingine,automatically ninarudishwa kulekule kwenye internet Explorer ili ku-search,kitu ambacho ndilo tatizo langu kubwa.
Haya ni baadhi ya maneno yanayojitokeza baada ya ku-click kwenye icon ya internet Explorer; (Enternet explore has encounted a problem with an add-on and needs to close).

mkuu make sure Internet Explore sio Default browser kwenye settings, ukishadownload Mozilla Firefox select options, advanced, check if mozilla is your default browser then select the option 'yes' to make it a default browser.. hapo utaweza kuaccess internet kupitia Mozilla...:biggrin1::biggrin1:
 
Back
Top Bottom