Straight corner
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 385
- 132
Hi wana JF!
Katika harakati za kusaka elimu, nimepata admision ya chuo cha nje na katika harakati za kusaka ufadhili inatakiwa niwe na Passport ya kusafiria nje ya nchi tena ndani ya wiki hii yaani kabla ya 27 May 2011. Baadhi ya watu wameniambia siwezi kufanikiwa ndani ya wiki hii otherwise nitoe mlungura/pesa ya kueleweka! Nimeambiwa gharama ya kawaida ni Tsh 50'000/=.
Please, nifanyeje au ndio nizitafute hizo pesa tu!
(Niko Dar es Salaam)
Katika harakati za kusaka elimu, nimepata admision ya chuo cha nje na katika harakati za kusaka ufadhili inatakiwa niwe na Passport ya kusafiria nje ya nchi tena ndani ya wiki hii yaani kabla ya 27 May 2011. Baadhi ya watu wameniambia siwezi kufanikiwa ndani ya wiki hii otherwise nitoe mlungura/pesa ya kueleweka! Nimeambiwa gharama ya kawaida ni Tsh 50'000/=.
Please, nifanyeje au ndio nizitafute hizo pesa tu!
(Niko Dar es Salaam)