hippocratessocrates
JF-Expert Member
- Jul 1, 2012
- 3,598
- 1,539
Mara baada ya Heka heka za migomo ya madaktari nchini na kusababisha huduma za Afya kusua sua mara baada ya zaidi ya madaktari 300 kufukuzwa na wengine wengi kuacha kazi serikali pamoja na kukimbilia nchi za jirani, Serikali ilitoa tamko Bungeni kusema inasubiri madaktari "700" kutoka vyuo vikuu na shirikishi vya Afya na Tiba.
Katika kutekeleza hilo, Wizara ya Afya imeanza kuwapangia madaktari hao vituo vya kazi sehemu mbali mbali, ikiwa ni utaratibu tofauti na ule wa awali yaani(mwaka jana na miaka mingine nyuma), ambapo daktari aliomba katika hospitali husika na kisha kupeleka barua wizarani.)
Source:info kutoka Wizarani.
Katika kutekeleza hilo, Wizara ya Afya imeanza kuwapangia madaktari hao vituo vya kazi sehemu mbali mbali, ikiwa ni utaratibu tofauti na ule wa awali yaani(mwaka jana na miaka mingine nyuma), ambapo daktari aliomba katika hospitali husika na kisha kupeleka barua wizarani.)
Source:info kutoka Wizarani.