Songambele
JF-Expert Member
- Nov 20, 2007
- 4,695
- 2,553
Imetokea juzi juzi tu hapa katika sebule zetu hizi za umma (Bar) sinza ambapo wakali wa fikra mbadala walikuwa wakitafakari na kutafakuri huku wakishushia na kanywaji ni full kujilamba kama sio kujiachia.
Ghafla jamaa mmoja akaibuka na fikra mpya kuhusiana kinachoendela sinza/Dar usiku, Mshkaji akauliza ingekuwa vipi kama bao lingekuwa linasauti kama ya risasi wakati likitoka, je sinza watu wangelala? na vyumba vya kupanga vingekuwa na soko maeneo hayo?
Jamaa ameamua kufanya tafiti na majibu atatangaza, atalenga kuangalia ni maeneo gani zaidi yangeongoza kwa milio hiyo, je kungekalika kama hayo mambo yangekuwa na sauti na ni wakati gani milio mikubwa ingesikika zaidi usiku au mchana.
Bao-Goli-(mambo ya kikubwa na wakubwa wameelewa)
Ghafla jamaa mmoja akaibuka na fikra mpya kuhusiana kinachoendela sinza/Dar usiku, Mshkaji akauliza ingekuwa vipi kama bao lingekuwa linasauti kama ya risasi wakati likitoka, je sinza watu wangelala? na vyumba vya kupanga vingekuwa na soko maeneo hayo?
Jamaa ameamua kufanya tafiti na majibu atatangaza, atalenga kuangalia ni maeneo gani zaidi yangeongoza kwa milio hiyo, je kungekalika kama hayo mambo yangekuwa na sauti na ni wakati gani milio mikubwa ingesikika zaidi usiku au mchana.
Bao-Goli-(mambo ya kikubwa na wakubwa wameelewa)