Petiro
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 309
- 45
We zomba ww mbona ni kilaza hivyo!
hizo risasi zilizo waua na kujeruhiwa zilifyatuliwa na CHADEMA? Polisi wakutuliza ghasia badala ya kutiliza waliua ss hiyo ndio kazi mliyowatuma?
Eti kuna wageni hivi unawasha taa na kuiweka mvunguni au kuifunika na debe?
hizo risasi zilizo waua na kujeruhiwa zilifyatuliwa na CHADEMA? Polisi wakutuliza ghasia badala ya kutiliza waliua ss hiyo ndio kazi mliyowatuma?
Eti kuna wageni hivi unawasha taa na kuiweka mvunguni au kuifunika na debe?