zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
Nafikiri uelewa wako ni tatizo, maandamano ya Chadema yalipangwa toka lini na hao wageni wamekuja lini?
Na yalikatazwa lini yasifanyike?
Nafikiri uelewa wako ni tatizo, maandamano ya Chadema yalipangwa toka lini na hao wageni wamekuja lini?
Hizo ndio sababu ambazo hazipingiki, kulikuwa kuna umuhimu gani wa kufanya maandamano wakati kuna wageni? tena ni wawekezaji muhimu? kama si kuwatisha?
Hizo ndio sababu ambazo hazipingiki, kulikuwa kuna umuhimu gani wa kufanya maandamano wakati kuna wageni? tena ni wawekezaji muhimu? kama si kuwatisha?
Hizo ndio sababu ambazo hazipingiki, kulikuwa kuna umuhimu gani wa kufanya maandamano wakati kuna wageni? tena ni wawekezaji muhimu? kama si kuwatisha?
kwa hiyo wakija wageni ndio Tanzania haiwi tanzania na Demokrasia inatakiwa ifichwe? Hivi hujasikia watu wanafanya maandamano kwenye G7 meetings ambako ndiko wageni wengine muhimu wapo? Yaani tuuze uhuru wetu kwa ajili ya kuogopa wageni.
Mwanzisha hoja Zomba HAKUFIKIRIA kabisa kuwa DEMOKRASIA ni bora mara elfu kuliko ugeni wowote ule utakaotujia hapa Tanzania!
@Zomba
Hiyo intelejinsia inaaply tu kwa CHADEMA? na hao majambazi huko maeneo ya mbezi zote,tegeta, kigoma mbona haitumiki? hao mafisadi wa Richmond, EPA n.k mbona haitumiki? wageni ki2 gani hata Richmond siwalikuja kama wageni! uliona wapi taifa likaendelezwa na wageni?
Tatizo una mawazo mgando na uwezo finyu wa kufikiri "KILAZA"
Kwny JF hutufai ww maana hapa ni "The great Thinker" Kwenda ukacheze KIDUKU huko
kwahiyo akiwepo mgeni ndio ufiche shida zako
Zomba,
Na yale maandamano ya CUF ya kupeleka rasimu ya katiba kuliwa na wageni wepi? Au kisingizio gani? Nao pia si waliambiwa wasiandamane?
I see , "system at work". Unafanya damage control?
Sasa mumewaridhisha vipi wageni wenu kwa kupiga Raia risasi moto?
Walisema wanahitaji damu ya muhanga ndio waje waekeze vitega uchumi vyao?
Uzombi ndio huo!