Asa
Institution za nchi ndio tatizo.
Na ni tatizo kwa sababu viongozi wote wa hizo institution wanachaguliwa na mtu mmoja 'Raisi"
Asante Mkuu, well said!nguruvi3 kila siku anahubiri mfumo humu
watu bado mnaamini kwenye 'individual brilliancy '
Kungekuwa na mfumo waziri mkuu wala asingekwenda bandarini
ingejulikana meter ni mbovu na mhusika mzembe
Institution za nchi ndio tatizo.
Na ni tatizo kwa sababu viongozi wote wa hizo institution wanachaguliwa na mtu mmoja 'Raisi"