INTELIJENSIA: Ziara ya Waziri Mkuu Bandarini

Tuliangalie hili kwa makini sana. Jana wakati Waziri Mkuu akiwa anatembelea kukagua Kurasini Oil Jet (KOJ) aliambatana na Mkurugenzi Mtendaji wa Wakala wa Vipimo (WMA) pamoja na wakubwa wengine. Swali alilomuuliza huku akitaka maelezo yake yatolewe ni ......KWA NINI ULIAMUA KUWASHA METER JANA BAADA YA KUTUMIWA UJUMBE WA SMS?...... Kwa jicho la weledi ni kwamba katika timu ya watakatifu waliowazunguka Majaliwa na JPM wapo wanaouza taarifa kwa watuhumiwa watarajiwa.

Kiintelejensia hili limekaaje?

Inanipa mashaka hata ulinzi wa viongozi hawa ambapo inawezekana Watanzania wasio wema wakaamua kuwauza ili waondoke mbele ya macho ya Watanzania wenye kuhitaji huduma zao.....
Ndio sababu viongozi wakuu mara kwa mara wanaomba waombewe kwani kazi iliyo mbele yao ni kubwa na mzito.
 
Tuliangalie hili kwa makini sana. Jana wakati Waziri Mkuu akiwa anatembelea kukagua Kurasini Oil Jet (KOJ) aliambatana na Mkurugenzi Mtendaji wa Wakala wa Vipimo (WMA) pamoja na wakubwa wengine. Swali alilomuuliza huku akitaka maelezo yake yatolewe ni ......KWA NINI ULIAMUA KUWASHA METER JANA BAADA YA KUTUMIWA UJUMBE WA SMS?...... Kwa jicho la weledi ni kwamba katika timu ya watakatifu waliowazunguka Majaliwa na JPM wapo wanaouza taarifa kwa watuhumiwa watarajiwa.

Kiintelejensia hili limekaaje?

Inanipa mashaka hata ulinzi wa viongozi hawa ambapo inawezekana Watanzania wasio wema wakaamua kuwauza ili waondoke mbele ya macho ya Watanzania wenye kuhitaji huduma zao.....
Hayo mashaka ndo mwanzo wa kuonesha kweli huna uelewa na usalama wa taifa,information kumfikia nayo yawezekana ni mbinu ya ushahidi kwa kilichotarajiwa,no link of info wewe hujiongezi kuwa waziri mkuu anajua kuwa alitumiwa sms? Kama wanauwezo wa ku track kuwa alitumiwa sms unakuwaje na mashaka kuwa hawamjui mtumaji?
 
Wanavyorukaruka unashindwa kujua nini kinaendelea.......kuna hao polisi......kuna wale waliopewa siku 7 kulipa kodi........
Mambo ni mengi sana......lakini hakuna kitu hata kimoja kinachofanyika....nilikuwa nasubiri siku 100 lakini zimeisha hakuna lolote........

Ndio maana JPM huwa anaomba sana aombewe. Kuwa na nchi yenye dark forces na negativity kama wewe sio mchezo. Prezidaa endelea na #Hapa kazi tu#. Tutanyooka tu.
 
Ndio maana JPM huwa anaomba sana aombewe. Kuwa na nchi yenye dark forces na negativity kama wewe sio mchezo. Prezidaa endelea na #Hapa kazi tu#. Tutanyooka tu.

Wewe yale majina ya wauza unga ulisikia yametangazwa utujuze......?......
 
preta umemjibu crocodile vizr akisikia majina yametajwa atujuze hata mie na hamu ya kuyajua
 
Kuna majizi huwa tunayataja humu kila siku JPM hasikii, sasa tumsaidiaje? Kuna majitu yamekubuhu kwa rushwa na figisu, lipo li Mwakyembe, kuna Li Muhongo, Kuna li Simbachawene, kuna li kipara februari marope. Ukiwa na haya majitu kwenye baraza la mawaziri tegemea hujuma kila dakika. Ni majitu ya figisu. Acha raisi wangu JPM avune alichopanda
Naona umeanza kuwatumikia mafisadi akina Reginald Mengi na Lowasa. Pole sana
 
Ha ha ha ha haaa Kitwanger,kwani opereshen ya kusaka wahamiaji imeshaisha?ina maana wameisha?na pia usisahau kuwa upuuz bado upo tu
Tena huyu jamaa ni hovyo kabisa mimi nilitegemea Zoezi lingekuwa Endelevu kuna waCONGO wengi makanisani wanajifanya maEXPERT wa kuimba Kwaya hawana vibali tunataka sehemu inayoeleweka ili tuwatumbue kimyaa duh...
 
Bandari palioza sana. Walijipanga mafisadi na mawakala wao
Lakini watani zenu UKAWA walipokuwa wanalalamika nyie mlikuwa kwenye Fungate na Serikali ya Mkwere hamsikii hamuambiwi muhimu mtu kahongwa Fulana na Kofia tu.....Nashangaa nanyie mnashangaa huo ufisadi km wananchi wa kawaida
 
nguruvi3 kila siku anahubiri mfumo humu

watu bado mnaamini kwenye 'individual brilliancy '

Kungekuwa na mfumo waziri mkuu wala asingekwenda bandarini
ingejulikana meter ni mbovu na mhusika mzembe

Itabidi siku moja utupatie lecture ya namna sahihi na bora kabisa ya kubadili mfumo, inavyoelekea hatuelewi kabisa hili jambo, tusaidie kaka!!
 
Na comrade EL umemsahau
Kuna majizi huwa tunayataja humu kila siku JPM hasikii, sasa tumsaidiaje? Kuna majitu yamekubuhu kwa rushwa na figisu, lipo li Mwakyembe, kuna Li Muhongo, Kuna li Simbachawene, kuna li kipara februari marope. Ukiwa na haya majitu kwenye baraza la mawaziri tegemea hujuma kila dakika. Ni majitu ya figisu. Acha raisi wangu JPM avune alichopanda
 
nguruvi3 kila siku anahubiri mfumo humu

watu bado mnaamini kwenye 'individual brilliancy '

Kungekuwa na mfumo waziri mkuu wala asingekwenda bandarini
ingejulikana meter ni mbovu na mhusika mzembe
Nguruvi3 alikua mfuasi sana wa umaarufu na energy ya Magu... unataka kuniambia hakuona kwamba hili halitotokea??

Time to shoot a few snitches...
 
nguruvi3 kila siku anahubiri mfumo humu

watu bado mnaamini kwenye 'individual brilliancy '

Kungekuwa na mfumo waziri mkuu wala asingekwenda bandarini
ingejulikana meter ni mbovu na mhusika mzembe
hahaa mfumo ungemwambia ati...kwani yeye aliwiwa tu kwenda bila kuambiwa na watu?

halafu huo mfumo mnaolilia kilasiku ukiuliza vizuri unaambiwa katiba mpya ambayo itaketa mfumo wa serikali tatu...

sasa nyinyi watu mnasahau kuwa mfumo ni sheria madhibuti na sio mfumo ni serikali tatu...sheria Tanazania zipo ila tulikosa wasimamiaji mithili ya magufuli na majaliwa...

masuala ya mifumo ni kauli za kisiasa tu na huko kwa taarifa yako tumeishatoka...
 
nguruvi3 kila siku anahubiri mfumo humu

watu bado mnaamini kwenye 'individual brilliancy '

Kungekuwa na mfumo waziri mkuu wala asingekwenda bandarini
ingejulikana meter ni mbovu na mhusika mzembe
Umesema vema! Katika mfumo makini MKM na JPJM wasingekuwa wanazunguka zunguka kutumbua majipu wakati hiyo ni kazi inayoweza kufanywa na watendaji walio chini yao. Siku 100 hizi wangekuwa wamejikita katika kutunga au kurekebisha sheria ili kuhakikisha ufuatiliaji wa utendaji na mrejesho stahiki unafanyika kwa wakati ili kuhakikisha marekebisho yanafanyika kwa wakati. Mfumo makini usingehitaji hata media coverage; yaani majipu yangetumbuka automatically!

Tumuombe Mungu awajalie viongozi hawa hekima na ujasiri wa kutengeneza mfumo wa uwajibikaji bila shuruti; kurejesha heshima ya kazi na siyo kuendeleza nidhamu ya woga!
 
Kuna watu akili zao zinatumia pnp transistor ambazo majority carrier ni holes, very slow in understanding hivi hamuoni serikali inavyopigana kurudi sha mifumo ya kiuchumi na vyanzo vya mapato kwenye mikono ya uma
 
Ndio sababu viongozi wakuu mara kwa mara wanaomba waombewe kwani kazi iliyo mbele yao ni kubwa na mzito.

Kumwangalia Magufuli na Kasim Majaliwa wao kama wao katika utendaji nnadani tunakosea na kama ni kumuombea hata kama tungemuombea mpaka midomo igeukie kushoto kama hatoacha mfumo rasmi uwe katika Katiba basi tusitarajie mapya zaidi ya maigizo na michezo ya paka na panya.

Akiondoka Leo huyu Magufuli mnae msifia akija mwingine kama hamkuacha mfumo rasmi ,nae atakuja na style yake ref Jey Key
 
Back
Top Bottom