Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,493
Baba mchungaji huko we mwenyewe utakua unaangalia!akijaribu tu unamtoa manundu!
Waambie kabisa sisi twashare pswd! wakati mwingine huwa nakujibia and vice versa.
Baba mchungaji huko we mwenyewe utakua unaangalia!akijaribu tu unamtoa manundu!
Waambie kabisa sisi twashare pswd! wakati mwingine huwa nakujibia and vice versa.
Hahaha!Wataogopa!Wenyewe wanadhani wananipiga sound kumbe mchungaji anawachora tu!
Mwambie Birigita na Upo Roto ninawajibia PM zao kupitia kwako lol! :car:
We binti mrembo unahangaika na kibabu hichi,unajuwa gharama ya kutengeneza bustani ikafanana na ya White house ya Obama ?yote kwa kunirusha wiki moja ? na kwakuwa tutaonana napotengeneza bustani labda mengine yanaweza fuata lakini yote ni ukitaka mwenyewe.Hahaha!Wataogopa!Wenyewe wanadhani wananipiga sound kumbe mchungaji anawachora tu!
We binti mrembo unahangaika na kibabu hichi,unajuwa gharama ya kutengeneza bustani ikafanana na ya White house ya Obama ?yote kwa kunirusha wiki moja ? na kwakuwa tutaonana napotengeneza bustani labda mengine yanaweza fuata lakini yote ni ukitaka mwenyewe.
Basi mchungaji najitoa naona sista mwenyewe hataki kutengenezewa bustani hahaha!hahahah sisi vibabu tunazoefu wa kutekenya kuliko njia vijana!
Kumbe mpango mzima sio bustani kuna mengine umeficha?Alafu uzee sio hoja wewe....usidanganyike kabisa!We binti mrembo unahangaika na kibabu hichi,unajuwa gharama ya kutengeneza bustani ikafanana na ya White house ya Obama ?yote kwa kunirusha wiki moja ? na kwakuwa tutaonana napotengeneza bustani labda mengine yanaweza fuata lakini yote ni ukitaka mwenyewe.
:coffee::coffee::coffee:Mwambie Birigita na Upo Roto ninawajibia PM zao kupitia kwako lol! :car:
Unaona kuna kaukweli ehh?:coffee::coffee::coffee:
Hakuna kitu!Unaona kuna kaukweli ehh?
Hahahaha!Sasa angekua mganga kweli ndo haswaa ungetakiwa ukae chonjo kabla hajakukorogea dawa!!Ila hao wanaIntelijensia wako wanakuzingua tu!Hakuna kitu!
taarifa za kiintelijensia zinanionyesha kuwa Masa ni mganga wa kienyeji pale Wete.
Hahaha! we unafaa usalama wa taifa.
Hahaha! we unafaa usalama wa taifa.
Kuna ule msemo 'if you love someone let her/him free if there is love her/him will come back' sasa inabidi mchungaji ajiamini kiasi cha kuku-set free.Hivi nyie nia yenu Mchungaji anikimbie au mimi nimkimbie????:eyeroll1:
Hahahahaha!you made my day!Baba mchungaji hana wasiwasi...anajua hata nikiondoka leo ntarudi kesho!Kuna ule msemo 'if you love someone let her/him free if there is love her/him will come back' sasa inabidi mchungaji ajiamini kiasi cha kuku-set free.
Hahaha! we unafaa usalama wa taifa.