Mkuu hujasomeka vizuri. Na-assume unamaanisha imegoma ku-connect kwa kutumia software ya Join Air. Tatizo hili lilinitokea hivi karibuni niliponunua modem ya voda. Fuata maelekezo yafuatayo: install software inayokuja na modem, lengo hapa ni kuinstall drivers za hiyo modem. Hatua inayofuata ni ku-unistall hiyo software. Then, install software ya Join Air na uanze kuitumia.Kuna mchezo Voda wamefanya kwenye ile software inayokuja na modem. Usitegemee Join Air ita-connect kama ile software yao inayokuja na modem haujai-unistall.
Mkuu sijakusoma pia,mi nimepewa modem tu,hizo software zingne zinapatikana wapi? Na kwenye menu wameelekeza namna ya kuinstall nimefuata maelekezo hayo imekubali installation lakin connection inakataa
simplest method: create a dial up connection. go to network settings and create a new connection. choose dial up connection and a window will display lists of available modems. choose ur zte modem then kwenye dial number weka *99# paswrd na username acha blank. connection name chagua unalopenda then click connect. voilaaa!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.