Insincts/machale/6th sense & intuition...

Mbu

JF-Expert Member
Jan 11, 2007
12,753
7,839
.....d'u belive hiyo makitu hapo juu?....

Unaipa/ unayapa nafasi gani katika maamuzi ya matendo yako?
Hebu tubadilishane mawazo aisee...

Huenda nazeeka vibaya, au sijui ndio mid life crisis....lakini
miaka ya hivi karibuni nimejikuta najali zaidi hisia zangu kwanza,
kisha matakwa ya huyu, yule au wale walitakalo toka kwangu...

Na hiyo haijalishi muda, au kitu....mpaka ninapojiskia (mfano) kuonana
na mtu ndipo ninapomtafuta, otherwise...inafikia wakati hata watu wangu wa karibu
'kulaumu' siwajali...

Ni uzee huu, au? MTM, Aspirin, EMT, Tuko, AshaDii, MwanajamiiOne, kakakiiza, Teamo,
Firstlady1, bigirita, Lizzy, Nyamayao...Afrodenzi, bht, et al....nisaidieni mawazo na ushauri
'wazee' wenzangu....BAK, umepotea sana aisee...Klorokwini usilete maskhara aisee
..lol
 
.....d'u belive hiyo makitu hapo juu?....

Unaipa/ unayapa nafasi gani katika maamuzi ya matendo yako?
Hebu tubadilishane mawazo aisee...

Those things do exist and I like to call them 'natural resources' because most of us if not all of us experience them at varying points in our lives. They are natural human emotions.

Yes, they are not exact science but they form a big part of the human experience and sometimes they can be very accurate.
 
Those things do exist and I like to call them 'natural resources' because most of us if not all of us experience them at varying points in our lives. They are natural human emotions.

Yes, they are not exact science but they form a big part of the human experience and sometimes they can be very accurate.

Kaka NN....heshima kwako mkuu,

Nimeipenda analysis yako, sasa sijui ni kwakuwa ni
maneno ya faraja nilotaka yasikia au ndio instincts zenyewe bana...

All in all, ....hii hali nilianza nayo several yers ago nilipokuwa huko ughaibuni,
Haswa ilichangiwa na kuacha jichanganya na wabongo....
Sasa hapa bongo napo hali hiyo pia yaendelea...naji feel kuwa 'low profile' pia,
Yaani...all I want is being around close family tu basi....i dont trust people kabisa...
hii ni balaa sasa, coz nalaumika ati kwanini nimekuja kimya kimya...

I hope am right feeling what I feel....as you say, "sometime they can be accurate.."
 
Always it is a true experience,follow your sences it works!

Thanks Sojochris....I hope am always right aisee,..maana Diary imejaa appointments, ila zote
'pending' kwasasa....

Si wajua waweza onekana una ahadi za kiswahii kumbe mwenzao 'machale' yananicheza..
 
Moskwito, kwanza karibu nyumbani (subiria pm ya mzinga wa vi-perfume vya kutoka abroad, mbona umekuja kimya kimya aisee hehehe)

Hii kitu nilisoma kwenye mtandao siku moja, kuwa wanawake wanayo 6th sense. But kumekuwa na juhudi za ku-prove scientifically lakini bado hazijazaa matunda. Kiimani tunaita nafsi. Kama ningetii hii 6th sense kwa uaminifu ningekuwa na only a quarter of problems to solve.

Tell me about this: umeshawahi kumuwaza mtu, kuwa ngoja nimpigie ama nimtafute kuhusu issue flani, na ukajikuta anaanza kukutafuta yeye na unaishia kufeel guilty na kutanguliza apologies? 'Jana nimekuwaza sana nikasema nitakutafuta but I didn't..' Happens to me all the time. Wakati mwingine unajitii, anapokea na 'just the person I need to hear from', talking of the devil!
 
Not everyone experiences a sixth sense but everyone has a sixth sense. It is built in our creative power as beings of energy manifesting human. You may have this experience as long as you wish. You may end this experience whenever you choose.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
binadamu tuna njia za sense karibu mia moja lakini binadamu wa kawaida huweza kutumia hizo tano tu za kuona,kusikia,kunusa,kuonja na kugusa lakini kiukweli unaweza kuongeza wigo wa sense
Listening to your subconsius
Meditation
Deep breathing...hii hukongeza oksijen ambayo ni chakula kikuu cha ubongo na hivyo kufungua mishipa zaidi ya fahamu
Namna ya kulala..better north
to south ili usifanye ubongo ukakinzana... na nguvu ya uvutano ya dunia
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
dah, hii kitu ni nzuri lakini wakati mwingine inatisha.

Kuna kitu ambacho wakati mwingine unakipata hadi unaogopa, kuna wakati unakuwa unahisi bad energy around you, and something goes wrong somewhere, hii siipendi na huomba isinipate.

Ila kuna ile unaona kitu au mtu hapo hapo hujisikii kuwa karibu nacho, hii husaidia sana. Kwa experience yangu, nafsi ikimkataa mtu nakaa naye mbali mara zote huwa napata balaa.

Wakati mwingine hata sina evidence ya ubaya wa mtu, sijui nini hunipata. Kuna mtu tumefahamiana kama miaka 3 mie kwake naenda any time lakini kwangu hajakanyaga, namchenga makusudi. Kuna kitu sikiami kwake hata sijui nini.

Ila kuna mtu mwingine nakutana naye na hapo hapo nahisi niko sakama kwake.

Its so complicated lakini.
 
Moskwito, kwanza karibu nyumbani (subiria pm ya mzinga wa vi-perfume vya kutoka abroad, mbona umekuja kimya kimya aisee hehehe)

Hii kitu nilisoma kwenye mtandao siku moja, kuwa wanawake wanayo 6th sense. But kumekuwa na juhudi za ku-prove scientifically lakini bado hazijazaa matunda. Kiimani tunaita nafsi. Kama ningetii hii 6th sense kwa uaminifu ningekuwa na only a quarter of problems to solve.

Tell me about this: umeshawahi kumuwaza mtu, kuwa ngoja nimpigie ama nimtafute kuhusu issue flani, na ukajikuta anaanza kukutafuta yeye na unaishia kufeel guilty na kutanguliza apologies? 'Jana nimekuwaza sana nikasema nitakutafuta but I didn't..' Happens to me all the time. Wakati mwingine unajitii, anapokea na 'just the person I need to hear from', talking of the devil!

...ahhh, why wanawake pekee, au wachanganya na ile maternal insticts mfano
mtoto ataka nyonya, nk?...

Naamini sote binaadamu tumejaaliwa 6th 'major' senses, ila twazitii hizo senses kila mtu na
priorities zake...no wonder kuna wanaosema '...nilihisi kabla itakuwa hivyo!'....

Hilo la kuwazia mtu mara naye anajitokeza au kukupigia, twaweza sema 'telepathy'...supernatural power,
etc....so, kwa issue yangu hii ninavyojiskia niitii hali yangu ee? Dahh, sijui nitaeleweka...ahh, ukubwa jaa.
 
Not everyone experiences a sixth sense but everyone has a sixth sense. It is built in our creative power as beings of energy manifesting human. You may have this experience as long as you wish. You may end this experience whenever you choose.

Rev.The Finest....how are you doing bana? Kwenye sixth sense yangu wakati naandika mdahalo huu
ulikuwa mawazoni mwangu, ....sijakusoma siku nyingi, ila thx for my mind power umenijibu....lol...
enhe, wasema naweza acha kuyatii 'machale' yangu? Pheeewww....ni sahihi kufanya hivyo?
 
dah, hii kitu ni nzuri lakini wakati mwingine inatisha.

Kuna kitu ambacho wakati mwingine unakipata hadi unaogopa, kuna wakati unakuwa unahisi bad energy around you, and something goes wrong somewhere, hii siipendi na huomba isinipate.

Ila kuna ile unaona kitu au mtu hapo hapo hujisikii kuwa karibu nacho, hii husaidia sana. Kwa experience yangu, nafsi ikimkataa mtu nakaa naye mbali mara zote huwa napata balaa.

Wakati mwingine hata sina evidence ya ubaya wa mtu, sijui nini hunipata. Kuna mtu tumefahamiana kama miaka 3 mie kwake naenda any time lakini kwangu hajakanyaga, namchenga makusudi. Kuna kitu sikiami kwake hata sijui nini.

Ila kuna mtu mwingine nakutana naye na hapo hapo nahisi niko sakama kwake.

Its so complicated lakini.

Wewe umenielewa vizuri sana.....Big Up!!!
Ume summerize 99% ya kilichomo akilini mwangu...
'spooky!'
 
MBU honesstly nilitaka nianzishe a thread about this....

hii kitu ipo na real....
mimi from my experience nilipodharau hii instincts ndo nilapatwa na matatizo makubwa
mengine bado naya solve hayajaisha.......

wengine wanaita 'Guardian angel'.....

kuna watu wanaahirisha safari au anachelewa ndege/basi

halafu inatokea ajali.......mwingine anakwambia siku yaleo siendi kazini

wala kufanya lolote......analetewa habari ya msiba......the list goes on....

mimi watu wote in my life ambao niliwachukia toka siku ya kwanza

hata kama nilijisikia vibaya kwa kumchukia mtu bila sababu

later on nagundua ' i was right'.......hawakuwa watu wazuri.....
 
binadamu tuna njia za sense karibu mia moja lakini binadamu wa kawaida huweza kutumia hizo tano tu za kuona,kusikia,kunusa,kuonja na kugusa lakini kiukweli unaweza kuongeza wigo wa sense
Listening to your subconsius
Meditation
Deep breathing...hii hukongeza oksijen ambayo ni chakula kikuu cha ubongo na hivyo kufungua mishipa zaidi ya fahamu
Namna ya kulala..better north
to south ili usifanye ubongo ukakinzana... na nguvu ya uvutano ya dunia

....nice, upo deep kumbe na haya mambo ya yoga ee...
yeah, subconcious mind ni muhimu kuisikiza ila najiuliza hii
Inakuwa influenced zaidi na personal experiences ama nini?

The Boss, kumradhi sikukutaja awali...nimwagie maujuzi kaka...
 
hunch? deja-vu? probably inaweza kukupa hint of what is or is about to happen but haiwezi kuwa logical basis ya kufanya any action or decision
 
MBU honesstly nilitaka nianzishe a thread about this....

hii kitu ipo na real....
mimi from my experience nilipodharau hii instincts ndo nilapatwa na matatizo makubwa
mengine bado naya solve hayajaisha.......

wengine wanaita 'Guardian angel'.....

kuna watu wanaahirisha safari au anachelewa ndege/basi

halafu inatokea ajali.......mwingine anakwambia siku yaleo siendi kazini

wala kufanya lolote......analetewa habari ya msiba......the list goes on....

mimi watu wote in my life ambao niliwachukia toka siku ya kwanza

hata kama nilijisikia vibaya kwa kumchukia mtu bila sababu

later on nagundua ' i was right'.......hawakuwa watu wazuri.....

Umeona ee?

Ila, kuna uwezekano pia si wabaya, ...ila uwepo wako karibu nao
kwa kipindi fulani, kunaweza sababisha 'ajali'...au tafrani fulani...au, anything negative (force)

Hii haimaanishi am Superstitious, au?
Maana kuna wanaokwenda extreme kufikia kutizamia nyota (horoscope)...nk...
mie humlaani shetani na kumtanguliza mw'mungu japo kuna wakati roho inasita kabisa!
 
....nice, upo deep kumbe na haya mambo ya yoga ee...
yeah, subconcious mind ni muhimu kuisikiza ila najiuliza hii
Inakuwa influenced zaidi na personal experiences ama nini?

The Boss, kumradhi sikukutaja awali...nimwagie maujuzi kaka...


MBU ...instincts zinatusaidia kwa mengi mno
hata magonjwa...
unaweza wewe kuugua ukaenda hospitali ukaambiwa kitu
wewe mwenyewe ukaona hawa madaktari 'hawajajua tatizo lako liko wapi'
na ukaenda kutatua tatizo wewe mwenyewe kwingine kabisa...
unaweza kukuta tatizo lako ni kwenda kuwasalimia wazazi tu
au kuzungumza na mtu mkasameheana yaliyotokea
na ugonjwa huo.....unapotea....unarudi hospitali hakuna kitu lol
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom