Mkiwachagua wale wale mnaowachagua siku zote, mtasahauliwa vile vile wakati wote mambo mapya hutaka watu wapya, Nichague niwe mtumishi wako AMUA leo AMUA sasa, AMUA maana yake ni Afya, Maji, Uwajibikaji na Ajira.
ningekuwa kwenye eneo lake ningemchagua kuwa diwani regardless ya kazi ya baba yake....
watu wengi wanampiga madongo kwa ajili ya kazi ya baba yake....
hata ujumbe wake umekaa vizuri, kuna wabunge hawana kauli mbiu kabisa
ningekuwa kwenye eneo lake ningemchagua kuwa diwani regardless ya kazi ya baba yake....
watu wengi wanampiga madongo kwa ajili ya kazi ya baba yake....
hata ujumbe wake umekaa vizuri, kuna wabunge hawana kauli mbiu kabisa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.