Belo
JF-Expert Member
- Jun 11, 2007
- 12,882
- 10,193
Acha unoko wewe, kwani uongo sasa? Dino kapitwa mbali,kacheza muda mfupi kajichokea, Don Andres kacheza mda mref na bado mkali. Mue mnatumia akili kufikiri.
Hata akicheza miaka 200 Iniesta hawezi kumfikia Ronaldinho