Gamaha
JF-Expert Member
- Jul 17, 2008
- 3,815
- 4,861
Kwa kuwa watoto wote wa vigogo wa serikali na kampuni binafsi watoto wao wote wanasoma shule za english media AU saint nanihii, kwa kuwa hata wale wananchi wa dalaja la kati wanajitahidi kujinyima hata kile kidogo wanachopata ili mtoto wake akasome huko saint furani,
Na hata wale wenzangu na mimi makabwela wanatamani saaaaaaaaaaaana watoto wao wakasome saint naniii ili angalau mtoto aweze kusema morning dady, momy, nakadhalika.
Kwa ujumla siku hizi mtoto wa kitanzania akisoma english media anaonekana ni mtoto wa kileo, mtoto wa dalaja la juu, Je serikali inasita nini kubadilisha lugha ya kufundishia mashuleni ili kiwe kizungu na sisi watoto wetu watuite dady, uncle na mengineyo ya kizungu... situkuzi kizungu lkn kama kizungu ndio kinaonekana kuwa lugha ya kufundishia katika shule nyiiingi zinazochipukia sasa na ambazo ndio wenye pesa wote wanapeleka watoto wao huko.
Kwa nini serikali haitufikilii sisi makabwela jamani, hii ya kuanza kutumia kizungu form one unakutana na wenzio walisha kitumia toka chekechea huko saint nanihii inaweka ka inferiolity furani hivi, na hata ukimaliza chuo kwenye interview zetu za kizungu mtu wa saint nanihii atakupita kwa sababu sisi wa tulioanza kusoma kizungu form one utabakia unatafuta neno gani utumie kujibu swali hata kama unalijua na unaishia kutupwa nje sababu tu ya kigugumizi cha kizungu.
NATAMANI KWELI HATA WALE WA MANZESE PRIMARY SCHOOL WAFUNDISHWE MASOMO YOTE KWA KIZUNGU NA WAONGEE MASHULENI KIZUNGU ILI ANGALAU NGOMA IWE DROO. SITAKI KUSIKIA ETI BUDGET HAITOSHI YA KUBADILISHA MITAALA NA KUFUNDISHA WAALIMU MBONA PESA ZA UCHAGUZI MNAPATA, MBONA EPA MLIIBA.
Na hata wale wenzangu na mimi makabwela wanatamani saaaaaaaaaaaana watoto wao wakasome saint naniii ili angalau mtoto aweze kusema morning dady, momy, nakadhalika.
Kwa ujumla siku hizi mtoto wa kitanzania akisoma english media anaonekana ni mtoto wa kileo, mtoto wa dalaja la juu, Je serikali inasita nini kubadilisha lugha ya kufundishia mashuleni ili kiwe kizungu na sisi watoto wetu watuite dady, uncle na mengineyo ya kizungu... situkuzi kizungu lkn kama kizungu ndio kinaonekana kuwa lugha ya kufundishia katika shule nyiiingi zinazochipukia sasa na ambazo ndio wenye pesa wote wanapeleka watoto wao huko.
Kwa nini serikali haitufikilii sisi makabwela jamani, hii ya kuanza kutumia kizungu form one unakutana na wenzio walisha kitumia toka chekechea huko saint nanihii inaweka ka inferiolity furani hivi, na hata ukimaliza chuo kwenye interview zetu za kizungu mtu wa saint nanihii atakupita kwa sababu sisi wa tulioanza kusoma kizungu form one utabakia unatafuta neno gani utumie kujibu swali hata kama unalijua na unaishia kutupwa nje sababu tu ya kigugumizi cha kizungu.
NATAMANI KWELI HATA WALE WA MANZESE PRIMARY SCHOOL WAFUNDISHWE MASOMO YOTE KWA KIZUNGU NA WAONGEE MASHULENI KIZUNGU ILI ANGALAU NGOMA IWE DROO. SITAKI KUSIKIA ETI BUDGET HAITOSHI YA KUBADILISHA MITAALA NA KUFUNDISHA WAALIMU MBONA PESA ZA UCHAGUZI MNAPATA, MBONA EPA MLIIBA.