usije ukakubali,ukaona ni easy.fikiria baadae,huyo dada ana frustration zake,anaona njia ya mkato ni hiyo.muheshimu kama mwenyewe unavyosema.na umueleze ukweli kuwa hicho kitu hakiwezekani.huruma huruma,saa nyengine huponza.kuhusu sperm hata kwenye internet zinauzwa.unachagua mwenyewe kama unataka mchina,muhindi,muarabu,mzungu au mtu muafrica.ni hela yako tu. wanaume wa kukupa ujauzito na kusema,wamejaa tele,kama mwenyewe yupo tayari kulea mwenyewe.lakini kama wewe una mke wako,mpe heshima mke wako,usije ukajuta,mtoto ni for life
kama nilivyokwambia,huruma nyengine inaponza.hiyo si juu yako wewe.endelea kuwa rafiki yake wa kawaida tu.na ikibidi urafiki wako na yeye uupunguze.heri nusu shari,kuliko shari kamili.deep down unajua kama ni wrong,usitake kulazimisha vitu ambavyo,utakuja kuvijutia baadae.mke wako akija kujua hatokuamini tenaGood point,
Sasa nimkatalie kwa njia ipi anielewe kwani anaweza kusema anataka sperm zangu kwasababu ya genes zangu. Isitoshe anaweza kunijibu basi haina shida kumbe moyoni ndio nimemuongezea frustration zaidi ikawa kasheshe nyengine (maana amempiga chini mchumba wake na mie naongeza ndimu katika kidonda) mwishoe ikawa ndio mwanzo wa uadui.
Yani huyo angekutana na strikers mbona angepewa kikombe kizima cha maji tena kwa straw
Naona ninapata masuali mengi kuliko majibu nawaulizeni nyie Je ingelikuwa wewe ungelifanyaje kwasababu ameumbika huyu dada na angelikuwa anataka za chap chap ningelimpa ila hili la mtoto mh?[/QUOTE]
Hapo ndo napata shida kweli ya kujua hasa dhamira yako.......
siku zote wanawake warembo ni sumu kweli kwa wanaume wenye ndoa zao....
kweli uanaume ni kazi lol......
fanya yote kaka, lakini usithubutu kuzaa nje ya ndoa........take my words
Tatizo kamanda nitamkimbiaje wakati nakutana naye kila siku ofisini? Kama sijamuona nikiingia asubuhi ofisini nitakutakana naye lunch, au corridor za ofisi au mlangoni. Kuacha kazi itakuwa ngumu maana ndio mlo wa familia unatokea hapo. Ndio kwasababu nakosa majibu ya wapi nitokee ametibua plan zangu za leo acha tu!
Kuna mdau ameniPM naomba nimshukuru sana kwa ushauri wake murua.
Kuhusu kushauriana na mke siamini na sidhani itakuwa jambo la busara kuzungumzia hilo jambo kwake kwani fikra ya kwanza kwa wanawake wengi ni inawezekana nimetembea naye huyu dada wakati sio kweli.
Ushauri wa pili ni kuachana naye lolote litakalokuwa na liwe (huu nauafiki) kwasababu mke wangu is too precious to let her go ijapokuwa hilo linaweza kuhatarisha ufanisi wangu wa kazi kwasababu ushirikiano niliokuwa naupata kutoka kwake kikazi sijui utaendelea au ndio basi ? Lakini ya leo kali!
Je sasa nimkatalie kwa njia gani ya kistaarabu. Nikae naye kuzungumza naye kwa ustaarabu. Nimpeleke sehemu weekend nimjibu nikiwa na pombe kichwani kwamba no (maana pombe inasaidia kuondoa stimu za aibu). Mwisho kabisa nimtumie mtu wa makamo amueleze kiustaarabu? Au vyote hapo juu havifai?
Hebu think and act like a man wewe. Yaani utafanya kila unaloambiwa for the sake of team work? Usiwe na akili za kushikiwa maana akigundua jinsi unavyojidai una value mahusiano yenu atakupangia kazi ya kudeki nyumba yake twice a week na utaenda ili kazi zisiharibike. Mwambie unamheshimu sana na kumthamini kama mfanyakazi mwenzio ila alichokuomba hakiwezekani. Mweleze kuwa umeoa(asijisahaulishe) na unaiheshimu na kuipenda familia yako na unaomba naye aiheshimu pia. Akinuna au akicheka atajijua na kazi zitaendelea tu. Ukikubali tu kumpa mimba directly or indirectly ujue umeichimbia kaburi ndoa yako.
Ukiruhusu ukae nae faragha ujue mtavunja amri ya sita atakuganda zaidi ya ruba!!!!!! wamjua wee ruba ,try and you will regret
Kuna mdau ameniPM naomba nimshukuru sana kwa ushauri wake murua.
Kuhusu kushauriana na mke siamini na sidhani itakuwa jambo la busara kuzungumzia hilo jambo kwake kwani fikra ya kwanza kwa wanawake wengi ni inawezekana nimetembea naye huyu dada wakati sio kweli.
Ushauri wa pili ni kuachana naye lolote litakalokuwa na liwe (huu nauafiki) kwasababu mke wangu is too precious to let her go ijapokuwa hilo linaweza kuhatarisha ufanisi wangu wa kazi kwasababu ushirikiano niliokuwa naupata kutoka kwake kikazi sijui utaendelea au ndio basi ? Lakini ya leo kali!
Je sasa nimkatalie kwa njia gani ya kistaarabu. Nikae naye kuzungumza naye kwa ustaarabu. Nimpeleke sehemu weekend nimjibu nikiwa na pombe kichwani kwamba no (maana pombe inasaidia kuondoa stimu za aibu). Mwisho kabisa nimtumie mtu wa makamo amueleze kiustaarabu? Au vyote hapo juu havifai?