EJM_
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 3,836
- 2,090
Nimekuwa nawaza sana mpaka kuna wakati naogopa, hivi ingekuwaje kama ningekuwa mwanamke?
Dah mpaka huwa naogopa, what if i was a woman?
- Kila nikipita napigiwa miluzi na ksiiiiiii.............
- Kila mwezi nakuwa na wasiwasi wa lini itatokea (period)
- Kila mwezi najua ntaugua (kwa walio wengi tumbo, mgongo au kiuno)
- Kuogopa mimba ukiwa bado shuleni
- kujifungua kwa uchungu
- kupkea kichapo kwa mume
- huwezi kutembea peke yako usiku bila escort ya mwanaume hata kama ni mdogo kwako
- na mengine mengi...........
Dah mpaka huwa naogopa, what if i was a woman?