sijui nini
JF-Expert Member
- Sep 29, 2010
- 2,553
- 1,285
Najaribu kujiuliza tu, kulingana na mwenendo mzima wa kiasa ulivyo sasa hivi na upepo unavyovuma..mpaka sasa raisi wetu yuko kimya kabisa hasa katika jambo hili muhimu sana la msukumo wa kujiuzulu kwa viongozi muhimu sana wa nchi...hivi kwa mtazamo wako (bila kujali itikadi za ki chama) ungetoa tamko gani au ungechukua uamuzi gani!?
Nawasilisha!
Nawasilisha!