Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 37,430
- 78,596
ila tuacheni utani...lile jukwaa la mwisho...linahitaji moyo sana kuingia...
Kwan wewe baba unafataga nini kule?Siku nikuone kule utanitambua......................wewe cheza na mimi tu!
Umeona eee,ila tuacheni utani...lile jukwaa la mwisho...linahitaji moyo sana kuingia...
Hahah hhahah,mie kule duh...wewe nenda tu...uje kuniambia ulichoona...
Tungehamia jukwaa la siasa na moto wake lazma watarudisha jukwaa letu haraka...
Umeona eee,
Ila kunawatu baba wamepazoea kutwa nzima wako kule,mie naanza mazoezi kidogo kidogo lol!
Kwani lina nini lile jukwaa?? Mimi sina access....ila tuacheni utani...lile jukwaa la mwisho...linahitaji moyo sana kuingia...
FL weee acha tu,tena watu wanafunguka mbaya,wanatoa yote ya moyon mpaka ukisoma unaangalia pande zote kuhakikisha ulipo lol!yaani kuna siku nilipitia majukwaa yote na nilipochoka nikasema ngoja nitinge pale mwisho kabisa ..dah kuna JF mmoja nilibaki namshangaa eeh hata huyu huku ni kinara ..was like aaah can't believe ma aizii ......
Aka nenda mwenyewe,Tungechakachua topiki za watu kule kwenye siasa...
Ukiachia mbali idadi ya maneno, mimi nilipoona tu Mtambuzi kaweka post siku ya Jumanne, nilijiuliza kunani leo? Nikakumbuka aaaaah!, kumbe J4 ilikuwa Chitchat Day - Full Kujuachia kwani wakulu wote walikwenda kwenye uchaguzi wa wabunge.Umeona? Mtambuzi akiandika ni lazima aandika 1000 words!
Ila hapa post ya kuanzisha thread kaweka kafupiiii... but katam! lol
Kumbe Ma ma Ngina (MamaCanta) alinyemelea keyboard?!Kwa taarifa yako hiyo maneno kaweka mama yake CANTA.......Mama Ngina.........!
Mbona hata mie mkubwa but nikiingia huko najiona mdogo lol!....jina tu..linamaanisha kitu..."Mambo ya Kikubwa"....
Mbona hata mie mkubwa but nikiingia huko najiona mdogo lol!
Walikua na akili sana kuweka access kwa ruhusa maalum lol!
Hhahah hahhaha hahha,ukubwa sio tatizo...na ndio maana wakaanza na neno "Mambo"
Mbona hata mie mkubwa but nikiingia huko najiona mdogo lol!
Walikua na akili sana kuweka access kwa ruhusa maalum lol!
Salama kaka,"Curiosity killed a cat". Angalau wewe umesema unaingia uningia, lakini kuna mwengine ukimnasa kule ukimwuliza "unafanya nini hapa?" anaanza kupata kigugumizi cha vidole kwenye keyboard, anadai "aaah miye, aaah kwa sababu maana yake ilikuwa...nimepotea njia, Ni LEO TU"