Midavudavu
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 287
- 59
Ingekuwa vipi bei ya bia ingekuwa jiti mbili?
Ingekuwa vp kama wanaume wote wangegeuka kuwa mademu?
ingekua vipi km tungeendelea na barter trade badala ya pesa
ingekua vp UKIMWI usingekuwepo!!
ingekuwa vp unaamka unajukuta m..se..n..ge
Ccm isingekuwepo,na wewe kazi usingepata!ingekuwa vp kama rushwa isingekuwepo
Ingekuwa vp Steve Kanumba (R.I.P) angerudi tena duniani?
ingekuwa vp kama nyeti zote zingekuwa na memory card na bluetooth
Ingekuwa vipi bei ya bia ingekuwa jiti mbili?