sasa watwajuaje waloitwa na walojiita?
mtu mwanao kulawitiwa inauma baba .......hakuna anaetaka hii kitu....but solution naona halipatikani kwa urahisi.
kanisa katoliki kuruhusu hii kitu ni ngumu
mimi pamoja na familia yangu nimeamua kufanya ibada nyumbani maaana huku makanisani ni unafiki mtupu!!! Mapadri ndo hivyo mitarimbo yao mizuka tupu!! wachungaji chuma ulete lol.....
Hilo ndilo tatizo kubwaa wewe unaomba bikira maria akuombee makosa yako wapi wameandika unaombewa makosa yako ni mungu tu ndio mwenye uwezo ...bikira maria alikuwa mama wa yesu akuna kingine kipya jamani fungurn macho ndio maana najiuliza hivi mawaziri wakuu wa wilaya wamo ndani awafunguki na hili ama wanaogopa wakilifwata neno wataangamizwa na makosa yao....
Wewe kwenye kitubio padre anasali we unapoke atu amen amen...duh naomba nipen dk 10 narudi kuwammwagia neno ndugu zetu
mimi pamoja na familia yangu nimeamua kufanya ibada nyumbani maaana huku makanisani ni unafiki mtupu!!! Mapadri ndo hivyo mitarimbo yao mizuka tupu!! wachungaji chuma ulete lol.....
Unapoenda Nyumba ya Ibada unakuwa unafanya hivyo kwa imani gani Mkuu? kwa imani ya Padri au ya kwako wewe au ya nani? unaipotosha familia yako. kufika nyumba ya ibada na kupiga magoti kutubu dhambi zako kuna maana na thawabu kubwa sana kwako.
Huyo Mchungaji, Paroko au Imamu hawezi kabisa kuchezea imani yako, yeye kama ni mzinzi, mwizi na mengine yanayofanana na hayo nothing to do with you.
Kubali ushauri wangu rudisha familia kundini fasta utaisambaratisha shetani atatumia mwanya huo huo kuiteketeza.
mkuu bibilia inasema walipo wawili au watatu kwa jina langu na mm nipo pamoja si lazima kanisani
Drphone asante kwa jibu zuri kwa mkuu wetu!! unajua nimeshachoka na haya mathehebu kila mahali hapaeleweki...wakati tukiwa wadogo haya mambo yalikuwa hayasikiki hata kama yalikuwepo basai ilikuwa ni siri yao lakini sasa mambo hadharani nio maana ulaya wenzetu wamegeuza yale makanisa ni maeneo ya biashara maana usanii ulizidi sasa naona nasi tunaelekea kule kule...
mkuu bibilia inasema walipo wawili au watatu kwa jina langu na mm nipo pamoja si lazima kanisani
kumbe hata nikianzisha misa nyumbani na familia yangu ni vyema sana
Drphone asante kwa jibu zuri kwa mkuu wetu!! unajua nimeshachoka na haya mathehebu kila mahali hapaeleweki...wakati tukiwa wadogo haya mambo yalikuwa hayasikiki hata kama yalikuwepo basai ilikuwa ni siri yao lakini sasa mambo hadharani nio maana ulaya wenzetu wamegeuza yale makanisa ni maeneo ya biashara maana usanii ulizidi sasa naona nasi tunaelekea kule kule...
he shemasi na wewe unataka kutoka kanisani
si wote tutarusi nyumbani;usifanye hivyo bana
utatupoteza wengi afadhali mmuumini wa kawaida si wewe
tenda neno shika neno