drphone
JF-Expert Member
- Sep 29, 2009
- 3,542
- 281
kwa kweli kwa hizi kashifa zinazoendelea kwa mapadri ingekuwa ni amri yangu wote ambao wanataka upadri waasiwe na ihakikiwe mitarimbo imelala doro ndo asimikwe upadri mana hii ni aibu sana na hii michezo ata hapa itakuwa ilikuwepo na kama ilikuwepo ilifanyika kwa urahisi sana kwani wadanganyika ni waoga sana wangekaa kmya mapdri wangejisevia kwa kwenda mbele.
mtazamo wangu kwa vile kunamasista kwa nn wasichukuane wenyewe kwa wenyewe wala isingekuwa na makelele
mtazamo wangu kwa vile kunamasista kwa nn wasichukuane wenyewe kwa wenyewe wala isingekuwa na makelele