ingekuwa amri yangu

drphone

JF-Expert Member
Sep 29, 2009
3,542
281
kwa kweli kwa hizi kashifa zinazoendelea kwa mapadri ingekuwa ni amri yangu wote ambao wanataka upadri waasiwe na ihakikiwe mitarimbo imelala doro ndo asimikwe upadri mana hii ni aibu sana na hii michezo ata hapa itakuwa ilikuwepo na kama ilikuwepo ilifanyika kwa urahisi sana kwani wadanganyika ni waoga sana wangekaa kmya mapdri wangejisevia kwa kwenda mbele.
mtazamo wangu kwa vile kunamasista kwa nn wasichukuane wenyewe kwa wenyewe wala isingekuwa na makelele
 
kwa kweli kwa hizi kashifa zinazoendelea kwa mapadri ingekuwa ni amri yangu wote ambao wanataka upadri waasiwe na ihakikiwe mitarimbo imelala doro ndo asimikwe upadri mana hii ni aibu sana na hii michezo ata hapa itakuwa ilikuwepo na kama ilikuwepo ilifanyika kwa urahisi sana kwani wadanganyika ni waoga sana wangekaa kmya mapdri wangejisevia kwa kwenda mbele.
mtazamo wangu kwa vile kunamasista kwa nn wasichukuane wenyewe kwa wenyewe wala isingekuwa na makelele

mimi mtazamo wangu....wangeruhusiwa waoe/olewe kabisa ili kukata mzizi wa tamaa.
 
kwani hiyo sheria imewekwa na watu au mungu?

kama imewekwa na watu wanaweza kuibadili............kama imewekwa na mungu wao hawana uwezo wa kubadili
 
Mimi namuunga mkono mjumbe hapo juu. Kwamba Waruhusiwe waoe na waolewe kama ni masister. Hii ndo itasaidia kwani hata Mtume Paulo alisema. Mkiweza kukaa kama mimi kaeni la hamuwezi OENI kuliko kuwaka tamaa.
 
kwani hiyo sheria imewekwa na watu au mungu?

kama imewekwa na watu wanaweza kuibadili............kama imewekwa na mungu wao hawana uwezo wa kubadili

ndio maana a Mungu huwa Amri na ya kanaisa huwa sheria tu....

hata hivyo maisha ya utawa ni wito

kama hujaitwa huko ndo maana kuna maisha ya ulei pia

the choice is ones...............and wide
 
kwa kweli kwa hizi kashifa zinazoendelea kwa mapadri ingekuwa ni amri yangu wote ambao wanataka upadri waasiwe na ihakikiwe mitarimbo imelala doro ndo asimikwe upadri mana hii ni aibu sana na hii michezo ata hapa itakuwa ilikuwepo na kama ilikuwepo ilifanyika kwa urahisi sana kwani wadanganyika ni waoga sana wangekaa kmya mapdri wangejisevia kwa kwenda mbele.
mtazamo wangu kwa vile kunamasista kwa nn wasichukuane wenyewe kwa wenyewe wala isingekuwa na makelele

a) Kwa Mamlaka yapi utakayotumia kuwahasi hawa watu?
b) Hata ukiwahasi - utakuwa umetatua tatizo moja na umefungua jingine, suruhisho sahihi huwa ni kumaliza tatizo lililopo bila kutengeneza jingine.
c) kuwaozesha na masista hutakuwa umetafuta suruhisho la kwanza na badala yake utakuwa umetengeneza jingine maana sasa kazi haitafanyika hapo karokiani - kazi itakuwa mapenzi tu.

Tatizo kweli umelileta kwetu, lakini mapendekezo yako hayamalizi tatizo bila kutengeneza jingine.
 
mimi mtazamo wangu....wangeruhusiwa waoe/olewe kabisa ili kukata mzizi wa tamaa.

ni kweli kabisa wazo lako ni zuri kuliko kuigiza maandiko ujue mm mtazamo wangu ulikuwa tofauti kabisa nilikujakushangaa kwamba wote wanakuwa ni marijali kabisa mm nilikuwa kinyume chake
 
kwani hiyo sheria imewekwa na watu au mungu?

kama imewekwa na watu wanaweza kuibadili............kama imewekwa na mungu wao hawana uwezo wa kubadili

wametoa kwenye bibilia mtume paulo ndo alisema kama mtu ataweza kukaa bila mke kama mm ni bora ila ilikuwa ni maoni yake wala si mungu.
mungu yy anasema si vyema mtu kuwa peke yake,anaendelea zaidi kusema ale wake aliyepeke yake
 
Mimi namuunga mkono mjumbe hapo juu. Kwamba Waruhusiwe waoe na waolewe kama ni masister. Hii ndo itasaidia kwani hata Mtume Paulo alisema. Mkiweza kukaa kama mimi kaeni la hamuwezi OENI kuliko kuwaka tamaa.

kabisa mkuu mana mtume paulo alitoa mtazamo wake
 
ndio maana a Mungu huwa Amri na ya kanaisa huwa sheria tu....

hata hivyo maisha ya utawa ni wito

kama hujaitwa huko ndo maana kuna maisha ya ulei pia

the choice is ones...............and wide

ila wengi wamechagua awajaitwa ndo mana yanatokea tunayoona leo
 
a) Kwa Mamlaka yapi utakayotumia kuwahasi hawa watu?
b) Hata ukiwahasi - utakuwa umetatua tatizo moja na umefungua jingine, suruhisho sahihi huwa ni kumaliza tatizo lililopo bila kutengeneza jingine.
c) kuwaozesha na masista hutakuwa umetafuta suruhisho la kwanza na badala yake utakuwa umetengeneza jingine maana sasa kazi haitafanyika hapo karokiani - kazi itakuwa mapenzi tu.

Tatizo kweli umelileta kwetu, lakini mapendekezo yako hayamalizi tatizo bila kutengeneza jingine.

mkuu nashukuru kwa maoni yako ndomana tupo hapa kuchangia japo ujatoa na ww maoni yako zaidi umejb hoja nasubiria hoja yako mkuu
 
kwa kweli kwa hizi kashifa zinazoendelea kwa mapadri ingekuwa ni amri yangu wote ambao wanataka upadri waasiwe na ihakikiwe mitarimbo imelala doro ndo asimikwe upadri mana hii ni aibu sana na hii michezo ata hapa itakuwa ilikuwepo na kama ilikuwepo ilifanyika kwa urahisi sana kwani wadanganyika ni waoga sana wangekaa kmya mapdri wangejisevia kwa kwenda mbele.
mtazamo wangu kwa vile kunamasista kwa nn wasichukuane wenyewe kwa wenyewe wala isingekuwa na makelele

Aibu sana! mapadri wote kwa nini wasipelekwa kule mererani ila scan iwapitie kwani wana faida gani ya kutotoa! hiyo mashine iwapitia hawa tena iue kila kitu....wawe mitarimbo doro kabisa....wanatia aibu kwa sisi waumini wao wanatufundisha nini sasa! kila siku mapadri mapadri tumechoka..
 
wametoa kwenye bibilia mtume paulo ndo alisema kama mtu ataweza kukaa bila mke kama mm ni bora ila ilikuwa ni maoni yake wala si mungu.
Mungu yy anasema si vyema mtu kuwa peke yake,anaendelea zaidi kusema ale wake aliyepeke yake

tatizo mojja kubwa linalowakabili ndugu zetu waoga na awataki mkulikubali neno la mungu kwenye biblia wanataka lifwate wanavyotaka wao ndio maana kuna yule mzee mmoja alikuwa anawachapa sana neno la mungu wakaondoka wengi wakaawa wanasali wakashangaa wakatoliki how kamu miujiza inatokea mapepo yanatoka awakujua siri ya yule bwana .....nikumbushen kidogo mpaka wkaatangaza kutowaruhusu kula sakrament watu wake.....wananganagnia neno sehemu moja ukiwapeleka upande wa pili wanakuadhibu.....
Shalom paka jimmy
 
Aibu sana! mapadri wote kwa nini wasipelekwa kule mererani ila scan iwapitie kwani wana faida gani ya kutotoa! hiyo mashine iwapitia hawa tena iue kila kitu....wawe mitarimbo doro kabisa....wanatia aibu kwa sisi waumini wao wanatufundisha nini sasa! kila siku mapadri mapadri tumechoka..

yani ni sawa kabisa kwasababu kinachowasumbua ni urijali wakishapoteza urijali amani itakuwepo kama itatokea tatizo basi watakuwa mashoga ambalo tayari wanalo hilo tatizo
 
mh mkuu inamana na yy ni.......... du god have mercy

hii ipotezeee mkuu, imetoka thread nyingine huko huwezi kuelewa kitu

tuendelee kujadili hoja a mezani before smthing else happens here plz..........
 
sasa watwajuaje waloitwa na walojiita?

mtu mwanao kulawitiwa inauma baba .......hakuna anaetaka hii kitu....but solution naona halipatikani kwa urahisi.

kanisa katoliki kuruhusu hii kitu ni ngumu
 
tatizo mojja kubwa linalowakabili ndugu zetu waoga na awataki mkulikubali neno la mungu kwenye biblia wanataka lifwate wanavyotaka wao ndio maana kuna yule mzee mmoja alikuwa anawachapa sana neno la mungu wakaondoka wengi wakaawa wanasali wakashangaa wakatoliki how kamu miujiza inatokea mapepo yanatoka awakujua siri ya yule bwana .....nikumbushen kidogo mpaka wkaatangaza kutowaruhusu kula sakrament watu wake.....wananganagnia neno sehemu moja ukiwapeleka upande wa pili wanakuadhibu.....
Shalom paka jimmy

yani hapa tatizo watu ni wavivu wakusoma bibilia na katoliki unasomewa na kuomba anaomba padri tu kutubu unamtubia padri nyie kazi yenu kusema aaameeeen
 
Back
Top Bottom