Gudboy
JF-Expert Member
- Aug 14, 2009
- 867
- 77
- Thread starter
- #121
sasa nitafanya nini wakati sina mtu, kama huna mtu naweza kukuchumbia wewe, halafu inaonekana mzuri sanawe Good boy..yaani bado unajadili tu hii ishu, hivi bado tu unakachezea hako katoto ka secondari?...usijivunjie heshima hadharani mkuu