Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni kweli mimi sina mashori kaka signature inavyoonekana, siku zote natafuta maisha kwa ajilki ya familia yangu, ile bahati mbaya tu mazee"Kuwa na Mashori wengi si kipimo cha Urijali, kama mwanaume wa kweli, nyumbani wapate Ugali"-Gudboy
Signature ya Gudboy imetulia kweli.
unajua ndugu hiyo ilikuwa mwaka jana mwezi wa 4, na amekwishamaliza kidato cha 4 na sasa anasoma cha 5. Halafu hujasema kama ungekua wewe ungefanya nini ikiwa ni dada wa rafiki yako. Thanx
kama hutaki sikulazimishi lakini ukweli ndio huo, kwa ushahidi hata juzi kanitumia sms inasema hivi "I miss you so much ma love, nipo bed nawaza siku ile kwa bro mafinga, nce nte, still lv u" ukitaka ushahidi zaidi nityafute nitakupeleka ukamuoji mwenyewe kakaHii story Siikweli umejaribu kutumia tu akili ya kuzaliwa lakini maelezo hayafanani na hisia za tendo hilo
dah mkubwa tusishutumiane, haya mambo hutokea kwa kijana au mwanaume yeyote, ila kwa kuwa nimeona ni kosa ndio maana nikaona niliweke wazi na pia najuta makosa niliyoyfanya, kwa hiyo sio kutumia abusive language wakati unamshauri mtu, maadam hakuna baya liliojitokeza wala hakuna negative effects kwenye tulichofanya sina budi kuyaepuka ndugu, mimi ni binadamu na sio malaikaHapa hakuna wakukushauri mtu kama wewe,nyie ndio mijitu mnaopataga miukimwi alafu mnasingizia mmerogwa,solution mnakimbilia kanisani,sasa kwa mtindo huo unafikiri utaepuka vipi ngoma?Wewe hufai kuitwa rafiki na mtu yeyote,unafadhiliwa na huthamini fadhila,je huyo kaka yake angekufuma ungemdanganya nini,au ndio gia zenu za kujidai ulikuwa unampiga tuit?Sasa tudanganye kama ulitumia kinga,au kwakuwa mwanafunzi ndio unajua mzima?Jiheshimu we kahaba la kiume!!!
dah mkubwa tusishutumiane, haya mambo hutokea kwa kijana au mwanaume yeyote, ila kwa kuwa nimeona ni kosa ndio maana nikaona niliweke wazi na pia najuta makosa niliyoyfanya, kwa hiyo sio kutumia abusive language wakati unamshauri mtu, maadam hakuna baya liliojitokeza wala hakuna negative effects kwenye tulichofanya sina budi kuyaepuka ndugu, mimi ni binadamu na sio malaika
ni kweli mimi sina mashori kaka signature inavyoonekana, siku zote natafuta maisha kwa ajilki ya familia yangu, ile bahati mbaya tu mazee[/QUOTE]
bahati mbaya kweli au ndio ilikuwa "bahati nzuri" ingekuwa bahati mbaya ungegandiana nayo hadi leo?
yaani unachofanya hapo ni kuchafua tu, ukitaka kuwa godboy kweli, jitambulishe kwao... weka mambo wazi... ngono weka pembeni... mwache mtoto asome kwa raha zake kama wewe ulivyosoma...akimaliza chukua mzigo wako...
kama huna mpango nae au hauna uhakika, mwache na hamsini zake usiendelee kumpotezea mda wake.
hapana ndio kwanza nimemaliza chuo, naangalia kwanza maisha then hayo mengine nitarekebisha baadae, maana sitaki familia yangu ipate tabu si unajua tena maisha ya sasa
mwanaharamu wewe mim nikijua unanifanyia uswaini getoni kwangu na ku-do wewe sasa!IDIOT FELLOWNilikua na plan ya kwenda Mafinga huko mkoani Iringa baada ya miaka 10 kupita toka nilipohama. Kitaa kuna jamaa ambaye naye anatokea huko, katika kupiga story akaniambia ukitaka kwenda niambie maana yeye kaka yake anakaa kule hivyo atanipokea. Nikafurahi maana sikujua pa kuanzia ukichukulia ni muda mrefu umepita.
Siku ya safari ilipofika nikamwambia mshkaji basi naye akampigia simu bro wake na kumpa namba zangu, basi bro wake naye akanigongea kuwa nipo nakusubiri.
Nilipofika kweli jamaa alikuja nipokea akiwa ameongozana na demu wake. Akanipeleka hadi home kwake ambapo kuna chumba kimoja na sebule. Lakini yule demu wake alikua anakaa kwa wazazi wake.
Jioni tukaenda ofisini kwa jamaa, baadae akaje msichana mmoja alikua na umri kama wa miaka 18 mpaka 20 hivi. Sikua nimefahamu mpaka tulipofika nyumbani jioni nikamuona yeye ndio mpishi na kugundua kuwa anasoma kidato cha 4. Baada ya kula nikawa nawaza sasa huyu binti atalala wapi? Baadae sisi tukaingia chumbani na yule binti akalala pale sebuleni kwenye sofa.
Siku ya pili nikazunguka zunguka, baadae binti akanipigia simu kuwa kaka yake amemuagiza kuwa nimsindikize sokoni, nikaenda nae sokoni. Usiku wa siku ya 2 jamaa aliingia chumbani kulala, hivyo tukabaki na yule binti tukiangalia TV na huku tukipiga story hadi saa 7 usiku nikaingia chumbani kulala.
Siku iliyofuata tukaenda kutembea tembea huku tukizungumza mawili matatu. Usiku ulipofika nikawaaga kabisa jamani leo nitawahi kulala, maana kesho narudi dar. basi yule binti akanitumia sms "tafadhali usiwahi kwenda kulala I have something special for you". Nikaisoma na kuuchuna, baadae jamaa akaenda kulala kama kawaida yake, mimi nikabaki kuona hiyo special ni nini? tukawa tunaangalia move huku tumekaa kochi moja, lakini nikaona hakuna special yoyote mbona yupo kimya? Baadae nikamtekenya kwa kidole changu cha mguu, nikaona anarepond, hatimaye nikamkumbatia, tukaanza kucheza, hapo kumbuka kaka yake amlala chumbani.
Baadae tulipozidiwa tukaduu pale pale sebuleni kwenye kochi, huku nikiwa naenda kuchungulia mlangoni kupitia uwazi wa mlango kama jamaa kalala au anatuchora. Baada ya kumaliza nikaenda kulala. Siku ya kuondoka binti hataki niondoke, nikafikiria na kuwaza kuwa huyu binti anataka kuniletea balaa, huyu kaka yake akishtukia si itakua balaa, na angejua tu maana dogo alikwishachanganyikiwa na lile penzi la wizi. Nikafosi kuondoka kwa kujua jamaa akishtukia mchezo atanikata mapanga si unajua tena watu wenyewe wanyalu, na pia ingekua noma kwa mshikaji wangu dar akijua kuwa nilimmega dada yake.
Sasa ndugu kama ungekua wewe na situation hiyo ungefanyaje? Na huyu binti anataka kumwambia kaka yake kuwa mimi ndio boyfriend wake, sasa hawa jamaa wataonielewa kweli na dada yao ndio hasikii la mnadi swala wala la mwazini. nishaurini jamani
Ngoja nimtafute huyo binti Moro sec najua nitampata tu alafu naorganize ufunguliwe mashtaka ya kumega kinguvu huyu binti naweza sema ulimbaka alafu tunapima virusi wote wawili akibainika anavyo basi itabidi uozee jela tu maana hakuna haja ya kusikiliza kesi umesha mwaribia maisha huyu binti.