MwanaFalsafa1
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 5,565
- 836
Una tokea kupendana na mtu tena sana. mapenzi yenu yanaanza tokea mkiwa sekondari. Wazazi waka jaribu kuwa tenganisha waka shindwa. Chuoni mkaenda nchi tofauti lakini bado hilo laliku vunja penzi. Mkapitia yote hayo na mkaya shinda. Mna ahidiana kuwa hamta achana kwa lolote. Baada ya kupitia yote hayo na kuyavuka maisha yakawa tenganisha. Kwa bahati mbaya mawasiliano yakafa na taratibu mkaona penzi liki potelea haweni. Kila mmoja wenu anaona mwenzie atakua ameshaendelea na maisha yake kwa hiyo nyote mnaamua kuendelea na yenu........
Sasa basi wakati umesha ingia ndani ya ndoa mpenzi wako yule wa zamani anarudi maishani mwako. Mnaonana tu bahati mbaya mtaani na mnaamua kukutana sehemu kupeana mipasho ya kale........
Unamtaarifu husband/wife kuwa unaenda kukutana na an "old friend" kwa sababu hautaki ajue kuwa mtu huyo ulimpenda zaidi ya unavyo mpenda yeye sasa. Mkisha kutana lunch mnaanza kupeana habari. Mwenzio ana kuambia kuwa miaka yote hiyo alikua ana kutafuta na haja oa/kuolewa kwa ajili ya kuku subiria wewe. Anakuuliza kwanini ulivunja ahadi. Unatoa sababu kuwa ulidhani alisha pata mwingine nawe ukaamua kujua hamsini zako. Anakuambia kuwa bado ana kupenda tena sana. Kumbuka huyu ni mpenzi wako wa kwanza, mtu wa kwanza kuujua undani wako na ni mtu ambae bado unampenda tena sana na siku zote ulikua una tamani arudi maishani mwako........
Sasa ndiyo kasharudi na ana kukumbushia ahadi mlizo peana na ukiangalia wewe ndiyo ulizi vunja na yeye alizi tunza zote. Tayari upo ndani ya ndoa.Wewe na mkeo/mumeo bado hamna watoto. Je uta fanyaje? Moyoni unajua fika unampenda huyu mtu zaidi ya uliye nae sasa. Unajua fika huyu mtu alikua chagua lako la kwanza. Umemuwaza mara nyingi na kulia ukijua umpendae atakua ana faidi penzi la mtu mwingine. Je utamuacha mwanandoa mwenzio? Utamuomba huyu mtu muwe marafiki wa kifamilia ili walau muwe mnaonana? Would you take this person as a best friend because to you it's better having some of them then not having them at all?...........
It's a very hypothetical question I asked the woman I love. She cried when i asked her the question because she said unajua fika nakupenda kiasi gani lakini pia unajua fika sitoweza kusaliti ndoa. Wala sikua na nia mbaya lakini hilo swali lilifanya nifikiri sana, je ikiwa hivyo itakuaje? To me it made me realise how much I love my sweetheart & it has made me work harder not to loose her. I want to assure this never happens because I know I will never love anyone else as much as I love her. Swali ni ikiwa hivyo wewe unge fanyaje?
Sasa basi wakati umesha ingia ndani ya ndoa mpenzi wako yule wa zamani anarudi maishani mwako. Mnaonana tu bahati mbaya mtaani na mnaamua kukutana sehemu kupeana mipasho ya kale........
Unamtaarifu husband/wife kuwa unaenda kukutana na an "old friend" kwa sababu hautaki ajue kuwa mtu huyo ulimpenda zaidi ya unavyo mpenda yeye sasa. Mkisha kutana lunch mnaanza kupeana habari. Mwenzio ana kuambia kuwa miaka yote hiyo alikua ana kutafuta na haja oa/kuolewa kwa ajili ya kuku subiria wewe. Anakuuliza kwanini ulivunja ahadi. Unatoa sababu kuwa ulidhani alisha pata mwingine nawe ukaamua kujua hamsini zako. Anakuambia kuwa bado ana kupenda tena sana. Kumbuka huyu ni mpenzi wako wa kwanza, mtu wa kwanza kuujua undani wako na ni mtu ambae bado unampenda tena sana na siku zote ulikua una tamani arudi maishani mwako........
Sasa ndiyo kasharudi na ana kukumbushia ahadi mlizo peana na ukiangalia wewe ndiyo ulizi vunja na yeye alizi tunza zote. Tayari upo ndani ya ndoa.Wewe na mkeo/mumeo bado hamna watoto. Je uta fanyaje? Moyoni unajua fika unampenda huyu mtu zaidi ya uliye nae sasa. Unajua fika huyu mtu alikua chagua lako la kwanza. Umemuwaza mara nyingi na kulia ukijua umpendae atakua ana faidi penzi la mtu mwingine. Je utamuacha mwanandoa mwenzio? Utamuomba huyu mtu muwe marafiki wa kifamilia ili walau muwe mnaonana? Would you take this person as a best friend because to you it's better having some of them then not having them at all?...........
It's a very hypothetical question I asked the woman I love. She cried when i asked her the question because she said unajua fika nakupenda kiasi gani lakini pia unajua fika sitoweza kusaliti ndoa. Wala sikua na nia mbaya lakini hilo swali lilifanya nifikiri sana, je ikiwa hivyo itakuaje? To me it made me realise how much I love my sweetheart & it has made me work harder not to loose her. I want to assure this never happens because I know I will never love anyone else as much as I love her. Swali ni ikiwa hivyo wewe unge fanyaje?